JK atangaza kiama cha majangili
Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imenuia kumaliza kabisa ujangili nchini, ikiwa ni hatua ya kunusuru wanyama walio hatarini kutoweka katika hifadhi za taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s72-c/Super%2BBat.jpg)
KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s640/Super%2BBat.jpg)
Na Daniel Mbega, MkomaziNI majira ya saa tatu asubuhi Jumatano, Septemba 16, 2015 wakati tunawasili kwenye uwanja mdogo wa ndege (air strip) katika eneo la Kisima ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi inayotenganisha mikoa ya Kilimanjaro na Tanga.Uwanja unaonekana mweupe, hakuna ndege! Nikashangaa kwa sababu wenyeji wetu kampuni ya Bathawk Recon wametuambia tunakuja kushuhudia uzinduzi wa ndege maalum zinazopambana na ujangili.Kilichoonekana mbele yetu ni hema...
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s640/Super%2BBat.jpg)
KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO
Ndege aina ya Super Bat DA-50 Ndege zilizojaribiwa, DT-18 ilijaribiwa Tarangire Hii ilitengenezwa Ufaransa. Ni ndogo sana, inaweza kuruka kwa saa mbili tu katika nusu kipenyo cha kilometa 15 kutoka ilipo mitambo. DT-26 ilijaribiwa Selous…
9 years ago
Vijimambo12 Sep
Magufuli atangaza kiama.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/magu-12Sept2015.jpg)
Aliyasema hayo jana kwa nayakati tofauti wakati akiwahutubia wananchi wa Nyamongo na Tarime Mjini wilayani Tarime mkoani Mara ikiwa ni siku yake ya pili ya ziara ya kampeni mkoani hapa.
Alisema tabia hiyo imekuwa ikichangia kwa kiwango kikubwa kuchelewesha maendeleo ya wananchi na...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-oqA7vQY3_4s/U76q5EmucOI/AAAAAAAABV0/JYZH9pmcwyU/s72-c/Unknown.jpeg)
Ngeleja atangaza kiama kwa watendaji
NA PETER KATUANDA, SENGEREMA
MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, amecharuka na kutishia kuwang’oa baadhi ya watendaji watakaokwamisha na kuchakachua miradi ya maji wilayani Sengerema.
![](http://4.bp.blogspot.com/-oqA7vQY3_4s/U76q5EmucOI/AAAAAAAABV0/JYZH9pmcwyU/s1600/Unknown.jpeg)
Alisema hatakubali CCM ikose kura katika uchaguzi ujao kwa sababu ya...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Magufuli atangaza kiama kwa wakandarasi
WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli ametangaza kiama kwa wakandarasi wa barabara watakaochelewa kukamilisha miradi ya barabara waliyopewa ikiwa ni pamoja na wale watakaojenga chini ya kiwango. Dk. Magufuli alitoa...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Lukuvi atangaza kiama wamiliki mashamba
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema watu wanaomiliki mashamba bila kuyaendeleza huku wakiyatumia kama dhamana ya kukopea fedha benki watanyang’anywa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s72-c/scan0003.jpg)
BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14
![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s640/scan0003.jpg)
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY1pFIPQwHswqJA3IIkeuRABr7oNzIl1Xzv2UkV5kZIQ3wUhuJB2f2oAQOX9VnKJR1jd7fyIyqoloKLQ5ZkVmsdE/1.jpg?width=650)
KIAMA CHA WAARABU
Na Saleh Ally, Cairo
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, wanaondoka leo kwenda mjini Alexandria kwa ajili ya mechi ya kesho dhidi ya Al Ahly ambao wana mbinu nyingi za nje na ndani ya uwanja. Hakuna ubishi mechi ni ngumu, lakini Yanga wakijipanga, wakatulia na kufanya wanachotaka kukifanya, huenda kikawa ni kiama cha Waarabu hao wanaoongoza kwa kuchukua makombe ya kimataifa kuliko klabu yoyote duniani. Mechi ya kwanza,...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
Kiama cha wafanyakazi wa mizani chaja
Watendaji TANROAD, madereva wa malori wawekwa kikaangoni
MOHAMMED ISSA NA
MWAMVUA MWINYI
SERIKALI imesema itaingia mkataba maalumu na wafanyakazi wa mizani ya Vigwaza, Kibaha mkoani Pwani kwa lengo la kuwadhibiti ili wasiuchakachue na kupitisha magari yaliyozidisha mizigo.
Pia imewaonya baadhi ya watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kuacha mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mbali na hilo, imewatangazia kiama madereva...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania