Kiama cha wafanyakazi wa mizani chaja
Watendaji TANROAD, madereva wa malori wawekwa kikaangoni
MOHAMMED ISSA NA
MWAMVUA MWINYI
SERIKALI imesema itaingia mkataba maalumu na wafanyakazi wa mizani ya Vigwaza, Kibaha mkoani Pwani kwa lengo la kuwadhibiti ili wasiuchakachue na kupitisha magari yaliyozidisha mizigo.
Pia imewaonya baadhi ya watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kuacha mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mbali na hilo, imewatangazia kiama madereva...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s72-c/Super%2BBat.jpg)
KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s640/Super%2BBat.jpg)
Na Daniel Mbega, MkomaziNI majira ya saa tatu asubuhi Jumatano, Septemba 16, 2015 wakati tunawasili kwenye uwanja mdogo wa ndege (air strip) katika eneo la Kisima ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi inayotenganisha mikoa ya Kilimanjaro na Tanga.Uwanja unaonekana mweupe, hakuna ndege! Nikashangaa kwa sababu wenyeji wetu kampuni ya Bathawk Recon wametuambia tunakuja kushuhudia uzinduzi wa ndege maalum zinazopambana na ujangili.Kilichoonekana mbele yetu ni hema...
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Eq5mOmG7lQ0/VfpCdSkDCsI/AAAAAAAAJ2w/HYjdpDjK_PQ/s640/Super%2BBat.jpg)
KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY1pFIPQwHswqJA3IIkeuRABr7oNzIl1Xzv2UkV5kZIQ3wUhuJB2f2oAQOX9VnKJR1jd7fyIyqoloKLQ5ZkVmsdE/1.jpg?width=650)
KIAMA CHA WAARABU
11 years ago
Mwananchi12 Mar
JK atangaza kiama cha majangili
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s72-c/IMG_9237.jpg)
WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s640/IMG_9237.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HhmYtWT8pac/VVCskTnEQ5I/AAAAAAAAAf8/tbURmo3pEnA/s640/IMG_9242.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Nov
Mabadiliko ya sheria kiama cha wachakachuaji mbolea, mbegu
WACHAKACHUAJI wa mbolea na mbegu nchini, sasa watakabiliwa adhabu kubwa zaidi zikiwamo za faini ya Sh milioni 500 na kifungo kisichozidi miaka saba gerezani endapo Bunge litaridhia mabadiliko ya sheria.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt60ByaF5M94wD1o1pLtDs11uLiqbB6nGr3H*PY4a7bDELr5EQhDKSPaWGS3DO0aldLvgVsMgG51FScQ*VX1Vt1N-/xxlv.jpg?width=650)
KIAMA CHA ELIMU SAHIHI YA KUTIBU GONJWA LINALOITWA WIVU-3
5 years ago
Bongo514 Feb
Kiama cha wazalishaji wa CD ‘feki’ chawadia, 13 kuripoti Polisi Central Ijumaa
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akishirikiana na Wizara ya Habari pamoja na wasanii wa filamu wameendesha operesheni maalum katika mitaa ya Kariakoo Jijini Dar es salaam kwa dhumuni la kupambana na wazalishaji wa CD ‘feki’ za filamu kutoka nje ya nchi.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa katika operesheni hiyo Kariakoo Jijini Dar es salaam.
Hatua hiyo imekuja baada ya wasanii wa filamu nchini kumtembelea RC Makonda na kulalamika juu ya filamu hizo za nje kwa madai...