Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiama cha wazalishaji wa CD ‘feki’ chawadia, 13 kuripoti Polisi Central Ijumaa

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akishirikiana na Wizara ya Habari pamoja na wasanii wa filamu wameendesha operesheni maalum katika mitaa ya Kariakoo Jijini Dar es salaam kwa dhumuni la kupambana na wazalishaji wa CD ‘feki’ za filamu kutoka nje ya nchi.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa katika operesheni hiyo Kariakoo Jijini Dar es salaam.

Hatua hiyo imekuja baada ya wasanii wa filamu nchini kumtembelea RC Makonda na kulalamika juu ya filamu hizo za nje kwa madai...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mkurugenzi wa Kampuni ya Grative Tanzania Limited atakiwa kuripoti kituo cha Polisi

SERIKALI ya Wilaya ya Kaskazini “B” imemuagiza Mkurugenzi wa Kampuni ya Grative Tanzania Limited yenye Makao Makuu yake Dar es salaam kuripoti kwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kaskazini “B” Asubuhi ya Ijumaa ya wiki hii kutoa maelezo ya kina kuhusiana na kuchelewa kumalizika kwa wakati Mradi wa Ujenzi wa Tangi la kuhifadhia Maji safi na salama linalojengwa katika Kijiji cha Kitope.

Agizo hilo limetanguliwa na lile alilopewa Mhandisi wa usimamizi wa Ujenzi huo aliyepo Zanzibar la kumtaka asitoke...

 

5 years ago

Michuzi

DC KATAMBI ATOA SIKU TATU KWA MASANJA KURIPOTI OFISINI KWAKE AU KITUO CHA POLISI

Charles James, Globu ya Jamii

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amempa siku tatu mchekeshaji, Emmanuel Mgaya 'Masanja' kuripoti Ofisini kwake au Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dodoma.

DC Katambie ametoa agizo hilo kwa Masanja baada ya kusambaa kwa video ya kipindi chake ambacho hurushwa na Kituo cha Televisheni cha Kimataifa cha DW, ambapo alikua akihoji wananchi wa Dodoma kuhusiana na virusi vya Covid19 ambavyo huchangia maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Akizungumza na wandishi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BI REHEMA AMEPOTEA KWA YEYOTE ATAKAYEMUONA ANAOMBWA KURIPOTI KITUO CHA POLISI KIGAMBONI U KILICHO KARIBU

Bi Rehema Salum Msambya pichani juu amepotea tokea tarehe 16/10/2014 maeneo ya Kigamboni - Kisota karibu na Shule ya Sekondari ya Abdu jumbe. Siku hiyo alikuwa amevaa Dela Na Skintirt ya Rangi ya Blue. Bi Rehema ana Matatizo ya Akili. Yeyote atakayemuona anaombwa kutoa taarifa katika kituo cha Polisi Kigamboni au kilicho karibu  au Apige simu namba0712 22 77 220753 63 49 670712 70 77 870713 23 52 94

 

10 years ago

Michuzi

Kipindi cha fursa ya biashara ya mavazi ya CCM chawadia mjini Dodoma

 Kuelekea kwenye Mikutano Mikubwa ya Chama cha Mapinduzi ya kupendekeza jina la Mgombea Urais wa CCM kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu, Fursa ya biashara ya mavazi ya Chama hicho imeendelea kushamiri kwa wafanya biashara wadogo waliopamba uzio Jengo la Makao Makuu ya CCM Mkoani Dodoma kwa mavazi ya rangi za kijani na njano kama inavyoonekana pichani.  Sehemu ya wafanyabiara kutoka maeneo mbali mbali, wakiwa wamepanga biashara zao nje ya Uzio wa Jengo la Makao...

 

10 years ago

Vijimambo

Mdee kuripoti Polisi leo

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha),Halima Mdee.
Baada ya kukamatwa akifanya maandamano yenye nia kwenda Ikulu kumshinikiza Rais Kikwete kutoipokea Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee, anatarajiwa kuripoti leo katika Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Datr es Salaam.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura, alisema kuwa mbunge huyo ataripoti kituoni...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi

MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba.

 

11 years ago

GPL

KIAMA CHA WAARABU

Na Saleh Ally, Cairo
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga,  wanaondoka leo kwenda mjini Alexandria kwa ajili ya mechi ya kesho dhidi ya Al Ahly ambao wana mbinu nyingi za nje na ndani ya uwanja. Hakuna ubishi mechi ni ngumu, lakini Yanga wakijipanga, wakatulia na kufanya wanachotaka kukifanya, huenda kikawa ni kiama cha Waarabu hao wanaoongoza kwa kuchukua makombe ya kimataifa kuliko klabu yoyote duniani. Mechi ya kwanza,...

 

11 years ago

Mwananchi

JK atangaza kiama cha majangili

Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imenuia kumaliza kabisa ujangili nchini, ikiwa ni hatua ya kunusuru wanyama walio hatarini kutoweka katika hifadhi za taifa.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kiama cha wafanyakazi wa mizani chaja



 Watendaji TANROAD, madereva wa malori wawekwa kikaangoni
MOHAMMED ISSA NA 
MWAMVUA MWINYI
SERIKALI imesema itaingia mkataba maalumu na wafanyakazi wa mizani ya Vigwaza, Kibaha mkoani Pwani kwa lengo la kuwadhibiti ili wasiuchakachue na kupitisha magari yaliyozidisha mizigo.
Pia imewaonya baadhi ya watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kuacha mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mbali na hilo, imewatangazia kiama madereva...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani