Kiama cha wazalishaji wa CD ‘feki’ chawadia, 13 kuripoti Polisi Central Ijumaa
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akishirikiana na Wizara ya Habari pamoja na wasanii wa filamu wameendesha operesheni maalum katika mitaa ya Kariakoo Jijini Dar es salaam kwa dhumuni la kupambana na wazalishaji wa CD ‘feki’ za filamu kutoka nje ya nchi.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa katika operesheni hiyo Kariakoo Jijini Dar es salaam.
Hatua hiyo imekuja baada ya wasanii wa filamu nchini kumtembelea RC Makonda na kulalamika juu ya filamu hizo za nje kwa madai...
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ji4Cwfrk9VE/Xpa7aLk46XI/AAAAAAALnAA/X7VVtMakg7gdNOkFiZfdnd84u76s1wTfACLcBGAsYHQ/s72-c/864.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Grative Tanzania Limited atakiwa kuripoti kituo cha Polisi
Agizo hilo limetanguliwa na lile alilopewa Mhandisi wa usimamizi wa Ujenzi huo aliyepo Zanzibar la kumtaka asitoke...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VDBXUhXZ0fA/Xoc3M5clJdI/AAAAAAALl8A/odUAaGOmC2gaolHNVdFrLp3b8-i8EYIogCLcBGAsYHQ/s72-c/fa93b8d7-ba20-4956-848a-6c11923e58a8.jpg)
DC KATAMBI ATOA SIKU TATU KWA MASANJA KURIPOTI OFISINI KWAKE AU KITUO CHA POLISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VDBXUhXZ0fA/Xoc3M5clJdI/AAAAAAALl8A/odUAaGOmC2gaolHNVdFrLp3b8-i8EYIogCLcBGAsYHQ/s400/fa93b8d7-ba20-4956-848a-6c11923e58a8.jpg)
MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amempa siku tatu mchekeshaji, Emmanuel Mgaya 'Masanja' kuripoti Ofisini kwake au Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dodoma.
DC Katambie ametoa agizo hilo kwa Masanja baada ya kusambaa kwa video ya kipindi chake ambacho hurushwa na Kituo cha Televisheni cha Kimataifa cha DW, ambapo alikua akihoji wananchi wa Dodoma kuhusiana na virusi vya Covid19 ambavyo huchangia maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MHdVi4ML6bs/VETRAXf83OI/AAAAAAAAcfM/JOqhIAfLVe8/s72-c/IMG-20141018-WA0000.jpg)
BI REHEMA AMEPOTEA KWA YEYOTE ATAKAYEMUONA ANAOMBWA KURIPOTI KITUO CHA POLISI KIGAMBONI U KILICHO KARIBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-MHdVi4ML6bs/VETRAXf83OI/AAAAAAAAcfM/JOqhIAfLVe8/s1600/IMG-20141018-WA0000.jpg)
10 years ago
MichuziKipindi cha fursa ya biashara ya mavazi ya CCM chawadia mjini Dodoma
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Mdee kuripoti Polisi leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Halima-Mdee--Ocxtober7-2014.jpg)
Baada ya kukamatwa akifanya maandamano yenye nia kwenda Ikulu kumshinikiza Rais Kikwete kutoipokea Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee, anatarajiwa kuripoti leo katika Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Datr es Salaam.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura, alisema kuwa mbunge huyo ataripoti kituoni...
10 years ago
Habarileo23 Nov
Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi
MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY1pFIPQwHswqJA3IIkeuRABr7oNzIl1Xzv2UkV5kZIQ3wUhuJB2f2oAQOX9VnKJR1jd7fyIyqoloKLQ5ZkVmsdE/1.jpg?width=650)
KIAMA CHA WAARABU
11 years ago
Mwananchi12 Mar
JK atangaza kiama cha majangili
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
Kiama cha wafanyakazi wa mizani chaja
Watendaji TANROAD, madereva wa malori wawekwa kikaangoni
MOHAMMED ISSA NA
MWAMVUA MWINYI
SERIKALI imesema itaingia mkataba maalumu na wafanyakazi wa mizani ya Vigwaza, Kibaha mkoani Pwani kwa lengo la kuwadhibiti ili wasiuchakachue na kupitisha magari yaliyozidisha mizigo.
Pia imewaonya baadhi ya watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kuacha mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mbali na hilo, imewatangazia kiama madereva...