Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi
MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Nov
Waliopata mimba sasa kurudi shuleni
SERIKALI imedhamiria kuanza utaratibu utakaoweka mazingira ya wanafunzi waliopata mimba wakiwa shule kurudi shuleni kwa lengo la kuhakikisha hawakosi elimu. Aidha, katika kutekeleza Sera ya Elimu ya Mwaka 2014, kuanzia mwakani inayoeleza kutoa elimu bure, Serikali imewataka wazazi na walezi kwenda kuandikisha watoto kwani ada na michango yote imeondolewa ili kuwezesha watoto wote wapate elimu ya msingi.
10 years ago
Mtanzania09 May
Wanafunzi 700 washindwa kuripoti shuleni
NA TWALAD SALUM, MISUNGWI
WANAFUNZI 712 waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu Misungwi, mkoani Mwanza, bado hawajaanza masomo yao katika shule 23 za sekondari.
Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Misungwi, Tabu Makanga.
Alisema wanafunzi waliofaulu kwenda sekondari ni 3,884 na kati ya hao, 700 hawajaripoti katika shule walizopangiwa, huku 12 wakiwa wamehamishiwa shule nyingine kwa taratibu za kisheria.
Alisema wavulana waliofaulu na kutakiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2Jq46dIegwfsQ0XOnpfhuPVFS2ZJ3Y-PeqWxeCaeiPsO0dlZbVP3J-TlXi7W45qNjDT3DitZZUAbiA7btZbqA*Y/MKUUWAWILAYAYAKILOLOGERALDGUNINITAAKIFUNGUAKIKAOCHADCCKATIKAUKUMBIWAHALMASHAURIYAWILAYAKUSHOTONIMKURUGENZI.jpg)
WANAFUNZI 1725 WASHINDWA KURIPOTI SHULENI WILAYA YA KILOLO
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Mdee kuripoti Polisi leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Halima-Mdee--Ocxtober7-2014.jpg)
Baada ya kukamatwa akifanya maandamano yenye nia kwenda Ikulu kumshinikiza Rais Kikwete kutoipokea Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee, anatarajiwa kuripoti leo katika Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Datr es Salaam.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura, alisema kuwa mbunge huyo ataripoti kituoni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZR9F1HA_eJg/XuouaT4OsHI/AAAAAAALuQo/Ja_0t6rYdegvAkYecva3zeMKaiHXt3elwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B5.50.26%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO AWATAKA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO KURIPOTI KWA WAKATI
Waziri Jafo ameyasema hayo wakati akitoa taarifa kuhusu uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ualimu na vyuo vya ufundi mwaka 2020 mapema leo katika Ofisi za TAMISEMI, Jijini Dodoma.
Amesema wanafunzi ambao hawataripoti wiki...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dc2OtqCPRME/U_cms6Sk8zI/AAAAAAAGBWY/XHx-ka4zDdE/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue awaaga Wanafunzi wa Tanzania waliopata Ufadhili wa masomo nchini Uholanzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-dc2OtqCPRME/U_cms6Sk8zI/AAAAAAAGBWY/XHx-ka4zDdE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cg8AOXbNr_E/U_cmtib1TbI/AAAAAAAGBWc/xzKYiCDZg_U/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Kiama cha wazalishaji wa CD ‘feki’ chawadia, 13 kuripoti Polisi Central Ijumaa
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akishirikiana na Wizara ya Habari pamoja na wasanii wa filamu wameendesha operesheni maalum katika mitaa ya Kariakoo Jijini Dar es salaam kwa dhumuni la kupambana na wazalishaji wa CD ‘feki’ za filamu kutoka nje ya nchi.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa katika operesheni hiyo Kariakoo Jijini Dar es salaam.
Hatua hiyo imekuja baada ya wasanii wa filamu nchini kumtembelea RC Makonda na kulalamika juu ya filamu hizo za nje kwa madai...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ji4Cwfrk9VE/Xpa7aLk46XI/AAAAAAALnAA/X7VVtMakg7gdNOkFiZfdnd84u76s1wTfACLcBGAsYHQ/s72-c/864.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Grative Tanzania Limited atakiwa kuripoti kituo cha Polisi
Agizo hilo limetanguliwa na lile alilopewa Mhandisi wa usimamizi wa Ujenzi huo aliyepo Zanzibar la kumtaka asitoke...