Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi

MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Waliopata mimba sasa kurudi shuleni

SERIKALI imedhamiria kuanza utaratibu utakaoweka mazingira ya wanafunzi waliopata mimba wakiwa shule kurudi shuleni kwa lengo la kuhakikisha hawakosi elimu. Aidha, katika kutekeleza Sera ya Elimu ya Mwaka 2014, kuanzia mwakani inayoeleza kutoa elimu bure, Serikali imewataka wazazi na walezi kwenda kuandikisha watoto kwani ada na michango yote imeondolewa ili kuwezesha watoto wote wapate elimu ya msingi.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi 700 washindwa kuripoti shuleni

NA TWALAD SALUM, MISUNGWI

WANAFUNZI 712 waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu Misungwi, mkoani Mwanza, bado hawajaanza masomo yao katika shule 23 za sekondari.

Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Misungwi, Tabu Makanga.

Alisema wanafunzi waliofaulu kwenda sekondari ni 3,884 na kati ya hao, 700 hawajaripoti katika shule walizopangiwa, huku 12 wakiwa wamehamishiwa shule nyingine kwa taratibu za kisheria.

Alisema wavulana waliofaulu na kutakiwa...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI 1725 WASHINDWA KURIPOTI SHULENI WILAYA YA KILOLO

Mkuu wa Wilaya ya Kilolo,Mh.Gerald Guninita akifungua kikao cha DCC katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya,Kushoto ni Mkurugenzi Ruukia Muwango na Kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri  ya Wilaya,kikao kilichofanyika mwisho mwa wiki katika ukumbi wa halmashauri hiyo. Mkurugenzi wa wilaya ya Kilolo Rukia Muwango akisoma taarifa ya wilaya…

 

10 years ago

Vijimambo

Mdee kuripoti Polisi leo

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha),Halima Mdee.
Baada ya kukamatwa akifanya maandamano yenye nia kwenda Ikulu kumshinikiza Rais Kikwete kutoipokea Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee, anatarajiwa kuripoti leo katika Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Datr es Salaam.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura, alisema kuwa mbunge huyo ataripoti kituoni...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AWATAKA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO KURIPOTI KWA WAKATI

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Tamisemi, Selemani Jafo amesema wanafunzi wote wa bweni waliochaguliwa kujiunga na kidato cha Tano kwa mwaka 2020 wanatakiwa kuripoti shuleni Julai 18 mwaka huu na wale wa kutwa kuripoti na kuanza masomo Julai 20.

Waziri Jafo ameyasema hayo wakati akitoa taarifa kuhusu uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ualimu na vyuo vya ufundi mwaka 2020 mapema leo katika Ofisi za TAMISEMI, Jijini Dodoma.

Amesema wanafunzi ambao hawataripoti wiki...

 

10 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue awaaga Wanafunzi wa Tanzania waliopata Ufadhili wa masomo nchini Uholanzi

Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue akitoa nasaha zake kwa wanafunzi (watanzania) waliopata udhamini kamili wa masomo nchini Uholanzi wakati wa hafla ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika 21 Agosti, 2014 nyumbani kwa Balozi eneo la Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jaap Frederiks akitoa hotuba yake kwa wanafunzi (watanzania) waliopata udhamini kamili wa masomo nchini Uholanzi wakati wa hafla ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika 21 Agosti, 2014...

 

5 years ago

Bongo5

Kiama cha wazalishaji wa CD ‘feki’ chawadia, 13 kuripoti Polisi Central Ijumaa

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akishirikiana na Wizara ya Habari pamoja na wasanii wa filamu wameendesha operesheni maalum katika mitaa ya Kariakoo Jijini Dar es salaam kwa dhumuni la kupambana na wazalishaji wa CD ‘feki’ za filamu kutoka nje ya nchi.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa katika operesheni hiyo Kariakoo Jijini Dar es salaam.

Hatua hiyo imekuja baada ya wasanii wa filamu nchini kumtembelea RC Makonda na kulalamika juu ya filamu hizo za nje kwa madai...

 

5 years ago

Michuzi

Mkurugenzi wa Kampuni ya Grative Tanzania Limited atakiwa kuripoti kituo cha Polisi

SERIKALI ya Wilaya ya Kaskazini “B” imemuagiza Mkurugenzi wa Kampuni ya Grative Tanzania Limited yenye Makao Makuu yake Dar es salaam kuripoti kwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kaskazini “B” Asubuhi ya Ijumaa ya wiki hii kutoa maelezo ya kina kuhusiana na kuchelewa kumalizika kwa wakati Mradi wa Ujenzi wa Tangi la kuhifadhia Maji safi na salama linalojengwa katika Kijiji cha Kitope.

Agizo hilo limetanguliwa na lile alilopewa Mhandisi wa usimamizi wa Ujenzi huo aliyepo Zanzibar la kumtaka asitoke...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani