WANAFUNZI 1725 WASHINDWA KURIPOTI SHULENI WILAYA YA KILOLO
![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2Jq46dIegwfsQ0XOnpfhuPVFS2ZJ3Y-PeqWxeCaeiPsO0dlZbVP3J-TlXi7W45qNjDT3DitZZUAbiA7btZbqA*Y/MKUUWAWILAYAYAKILOLOGERALDGUNINITAAKIFUNGUAKIKAOCHADCCKATIKAUKUMBIWAHALMASHAURIYAWILAYAKUSHOTONIMKURUGENZI.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo,Mh.Gerald Guninita akifungua kikao cha DCC katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya,Kushoto ni Mkurugenzi Ruukia Muwango na Kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya,kikao kilichofanyika mwisho mwa wiki katika ukumbi wa halmashauri hiyo. Mkurugenzi wa wilaya ya Kilolo Rukia Muwango akisoma taarifa ya wilaya…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 May
Wanafunzi 700 washindwa kuripoti shuleni
NA TWALAD SALUM, MISUNGWI
WANAFUNZI 712 waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu Misungwi, mkoani Mwanza, bado hawajaanza masomo yao katika shule 23 za sekondari.
Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Misungwi, Tabu Makanga.
Alisema wanafunzi waliofaulu kwenda sekondari ni 3,884 na kati ya hao, 700 hawajaripoti katika shule walizopangiwa, huku 12 wakiwa wamehamishiwa shule nyingine kwa taratibu za kisheria.
Alisema wavulana waliofaulu na kutakiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
11 years ago
MichuziSHULE 22 ZAPATIWA MSAADA WA VITABU WILAYA YA KILOLO
10 years ago
Habarileo23 Nov
Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi
MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba.
10 years ago
GPLBASI LA WANAFUNZI WALEMAVU SINZA LAKAMATWA, WASHINDWA KWENDA SHULE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZR9F1HA_eJg/XuouaT4OsHI/AAAAAAALuQo/Ja_0t6rYdegvAkYecva3zeMKaiHXt3elwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B5.50.26%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO AWATAKA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO KURIPOTI KWA WAKATI
Waziri Jafo ameyasema hayo wakati akitoa taarifa kuhusu uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ualimu na vyuo vya ufundi mwaka 2020 mapema leo katika Ofisi za TAMISEMI, Jijini Dodoma.
Amesema wanafunzi ambao hawataripoti wiki...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Wanafunzi walioolewa warejeshwa shuleni
HALMASHAURI ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha, i m e f a n i k i w a kuvunja ndoa bubu za wanafunzi wawili wa shule ya msingi walioachishwa shule na kuolewa na kuwarejesha shuleni na kuendelea na masomo yao mwaka 2015.
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Lugha ya kufundishia shuleni inavyowachanganya wanafunzi