Kipindi cha fursa ya biashara ya mavazi ya CCM chawadia mjini Dodoma
Kuelekea kwenye Mikutano Mikubwa ya Chama cha Mapinduzi ya kupendekeza jina la Mgombea Urais wa CCM kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu, Fursa ya biashara ya mavazi ya Chama hicho imeendelea kushamiri kwa wafanya biashara wadogo waliopamba uzio Jengo la Makao Makuu ya CCM Mkoani Dodoma kwa mavazi ya rangi za kijani na njano kama inavyoonekana pichani.
Sehemu ya wafanyabiara kutoka maeneo mbali mbali, wakiwa wamepanga biashara zao nje ya Uzio wa Jengo la Makao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA
10 years ago
GPL
MKUU WA MKOA DODOMA AZUNGUMZIA HALI YA USALAMA KATIKA KIPINDI CHA MIKUTANO YA CCM
10 years ago
Michuzi
JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA KUIMARISHA ULINZI KATIKA KIPINDI CHA MKUTANO MKUU WA CCM


10 years ago
Michuzi
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azungumzia hali ya usalama katika kipindi hiki cha Mikutano ya CCM

11 years ago
GPL
KIKAO CHA NEC CCM MJINI DODOMA JANA
10 years ago
GPLKIKAO CHA KAMATI KUU CCM CHAENDELEA MJINI DODOMA
11 years ago
Vijimambo
JK AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA

.jpg)

Wajumbe wa Halmashauri Kuu wakiwa kwenye mkutano kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma



10 years ago
Michuzi
KIOTA KIPYA CHA BIASHARA MTANDAONI - MAVAZI STORE

10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC-CCM MJINI DODOMA