Mabadiliko ya sheria kiama cha wachakachuaji mbolea, mbegu
WACHAKACHUAJI wa mbolea na mbegu nchini, sasa watakabiliwa adhabu kubwa zaidi zikiwamo za faini ya Sh milioni 500 na kifungo kisichozidi miaka saba gerezani endapo Bunge litaridhia mabadiliko ya sheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU MKOANI MANYARA
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Wauzaji mbolea Mbeya wakiona cha moto
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY1pFIPQwHswqJA3IIkeuRABr7oNzIl1Xzv2UkV5kZIQ3wUhuJB2f2oAQOX9VnKJR1jd7fyIyqoloKLQ5ZkVmsdE/1.jpg?width=650)
KIAMA CHA WAARABU
11 years ago
Mwananchi12 Mar
JK atangaza kiama cha majangili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2818-2048x1365.jpg)
WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2818-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2783.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2804.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
Kiama cha wafanyakazi wa mizani chaja
Watendaji TANROAD, madereva wa malori wawekwa kikaangoni
MOHAMMED ISSA NA
MWAMVUA MWINYI
SERIKALI imesema itaingia mkataba maalumu na wafanyakazi wa mizani ya Vigwaza, Kibaha mkoani Pwani kwa lengo la kuwadhibiti ili wasiuchakachue na kupitisha magari yaliyozidisha mizigo.
Pia imewaonya baadhi ya watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kuacha mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mbali na hilo, imewatangazia kiama madereva...
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
JK ataka mabadiliko sheria ya manunuzi
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete.
Na Mwandishi wetu
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete amesema lazima mabadiliko ya kina yafanyike katika idara ya ununuzi wa umma ili kudhibiti kiwango cha rushwa kinachoigharimu serikali
Rais Kikwete amebainisha hayo wiki iliyopita jijini Mwanza katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa 12 wa shirikisho la taasisi za kuzuia na kupambana na rushwa katika nchi za Umoja Wa Kusini Mwa Afrika ,SADC ambapo...
10 years ago
Habarileo19 Aug
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kujadiliwa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kinajipanga kutumia wanasheria, kujadili na kufanyia kazi baadhi ya vifungu vyenye utata vilivyopo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s72-c/IMG_2215.jpg)
WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA, TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s1600/IMG_2215.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1Fb7ZLGp7Q/UyojFC0qEJI/AAAAAAAA3ic/EsRpxRsx0uY/s1600/IMG_2209.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_eN2tg6T6Sk/UyojsFupRUI/AAAAAAAA3is/tMkGGQ8Vf3c/s1600/IMG_2186.jpg)