Lukuvi atangaza kiama wamiliki mashamba
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema watu wanaomiliki mashamba bila kuyaendeleza huku wakiyatumia kama dhamana ya kukopea fedha benki watanyang’anywa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo12 Sep
Magufuli atangaza kiama.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/magu-12Sept2015.jpg)
Aliyasema hayo jana kwa nayakati tofauti wakati akiwahutubia wananchi wa Nyamongo na Tarime Mjini wilayani Tarime mkoani Mara ikiwa ni siku yake ya pili ya ziara ya kampeni mkoani hapa.
Alisema tabia hiyo imekuwa ikichangia kwa kiwango kikubwa kuchelewesha maendeleo ya wananchi na...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
JK atangaza kiama cha majangili
Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imenuia kumaliza kabisa ujangili nchini, ikiwa ni hatua ya kunusuru wanyama walio hatarini kutoweka katika hifadhi za taifa.
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Magufuli atangaza kiama kwa wakandarasi
WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli ametangaza kiama kwa wakandarasi wa barabara watakaochelewa kukamilisha miradi ya barabara waliyopewa ikiwa ni pamoja na wale watakaojenga chini ya kiwango. Dk. Magufuli alitoa...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-oqA7vQY3_4s/U76q5EmucOI/AAAAAAAABV0/JYZH9pmcwyU/s72-c/Unknown.jpeg)
Ngeleja atangaza kiama kwa watendaji
NA PETER KATUANDA, SENGEREMA
MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, amecharuka na kutishia kuwang’oa baadhi ya watendaji watakaokwamisha na kuchakachua miradi ya maji wilayani Sengerema.
![](http://4.bp.blogspot.com/-oqA7vQY3_4s/U76q5EmucOI/AAAAAAAABV0/JYZH9pmcwyU/s1600/Unknown.jpeg)
Alisema hatakubali CCM ikose kura katika uchaguzi ujao kwa sababu ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s72-c/scan0003.jpg)
BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14
![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s640/scan0003.jpg)
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2sXp_yJPwzs/VND9J6SF2iI/AAAAAAAHBU8/tEXh-fj1AHY/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri Lukuvi atangaza mapambano dhidi ya wanaodhulumu ardhi
![](http://3.bp.blogspot.com/-2sXp_yJPwzs/VND9J6SF2iI/AAAAAAAHBU8/tEXh-fj1AHY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7nLEnWBAeQ/VND9IFp1OWI/AAAAAAAHBUk/Py3uH4QkkC4/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bnsPL1b2pFs/VND9ID5_y8I/AAAAAAAHBUs/A6BKc0Ntg_I/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9m_vW_D7Z3o/VND9IVpPgeI/AAAAAAAHBUo/aK4DEbftzM0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
Hussein Makame-MAELEZO,Dodoma
WAZIRI wa...
5 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI
5 years ago
CCM BlogWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY1pFIPQwHswqJA3IIkeuRABr7oNzIl1Xzv2UkV5kZIQ3wUhuJB2f2oAQOX9VnKJR1jd7fyIyqoloKLQ5ZkVmsdE/1.jpg?width=650)
KIAMA CHA WAARABU
Na Saleh Ally, Cairo
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, wanaondoka leo kwenda mjini Alexandria kwa ajili ya mechi ya kesho dhidi ya Al Ahly ambao wana mbinu nyingi za nje na ndani ya uwanja. Hakuna ubishi mechi ni ngumu, lakini Yanga wakijipanga, wakatulia na kufanya wanachotaka kukifanya, huenda kikawa ni kiama cha Waarabu hao wanaoongoza kwa kuchukua makombe ya kimataifa kuliko klabu yoyote duniani. Mechi ya kwanza,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania