NSSF KUFUATILIA MADENI KWA WAAJIRI SUGU
Baadhi ya viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakibadirishana mawazo nje ya ukumbi.
Washiriki wa warsha kuhusu mfuko wa NSSF ambao ni viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi .
Washiriki wa warsha ya NSSF kubadirishana mawazo.
Na John Nditi, Morogoro.SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka waajiri wa sekta mbalimbali nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
NSSF yaendesha semina kwa waajiri, wanachama
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, amewataka waajiri na wanachama wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kujadili changamoto zinazokabili shirika hilo na...
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Ras aunda kamati kufuatilia madeni
10 years ago
Mwananchi19 Dec
NSSF kuwaburuta mahakamani waajiri 34
11 years ago
Mwananchi09 Dec
NSSF yawaburuta waajiri kortini Mbeya
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Tazara kinara madeni NSSF
NA JOSEPH MALEMBEKA, MOROGORO WAKATI Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (Tazara), ikikabiliwa na ukata na kushindwa kulipa mishahara wafanyakazi wake, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Taifa (NSSF), umesema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aT6HNSoH8k8/VJKNAZMkuLI/AAAAAAAG4Es/1vIdKqGOVgc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-18%2Bat%2B11.13.49%2BAM.png)
10 years ago
MichuziNSSF MKOA WA TEMEKE YAWAPA SEMINA WAAJIRI WAKE KUHUSIANA NA MOBORESHO YA HUDUMA WANAZOTOA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-drBixFBv-yY/XuDWDZ1zs0I/AAAAAAALtWs/g-PjiIHtLeoFLBypR8xRThQYPT58iku-ACLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WAAJIRI WOTE WASIOWASILISHA MICHANGO YA MAFAO YA WAFANYAKAZI KUJISALIMISHA WENYEWE NSSF
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo jana wakati wa kikao baina ya Menejimenti ya NSSF,Kampuni ya Knight Support na Wafanyakazi wa Knight Support juu ya mustakabali wa malimbikizo ya wasilisho la michango ya wafanyakazi pamoja na tozo ya adhabu inayofikia takribani...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
NSSF yaendesha kongamano la Waajiri wa Taasisi mbalimbali za Kiserikali na zisizo za Kiserikali Mkoani Tanga!
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati akifungua kongamano la waajiri wa Taasisi mbalimbali ikiwemo za Kiserikali na zisizokuwa za kiserikali zilizokuwa na makao makuu yake mkoani Dar es Salaam lililofanyika jana mkoani Tanga kwenye hotel ya Tanga Beach, (Picha na Mwandishi Wetu).
Meneja Matekelezo na Kumbukumbu wa NSSF Makao Makuu, Maryam Muhaji akizungumza kwenye kongamano la waajiri wa Taasisi mbalimbali ikiwemo za...