Ras aunda kamati kufuatilia madeni
Katibu tawala wa Mkoa wa Mbeya (Ras), Mariam Mtunguja ameunda kamati ya kuchunguza na kufuatilia sababu za kutolipwa kwa wazabuni wanaosambaza vyakula na vifaa vingine kwenye taasisi za Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNSSF KUFUATILIA MADENI KWA WAAJIRI SUGU
Na John Nditi, Morogoro.SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka waajiri wa sekta mbalimbali nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Kificho aunda kamati ya kumshauri
MWENYEKITI wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Ameir Pandu Kificho, ameunda kamati ya watu 20 itakayomsaidia kumshauri katika utekelezaji wa majukumu yake ya kuandaa na kusimamia mchakato wa upitishaji...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
DC aunda kamati kuchunguza mgomo
Na Safina Sarwatt, Moshi
MKUU wa Wilaya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameunda kamati tatu ya kuchunguza mgomo baridi wa madakatari na manesi unaendelea katika Hospitali ya Kibosho, wakipinga lugha chafu, ubabe unaofanywa na uongozi wa hospitali hiyo na kucheleweshewa mishahara.
Hatua hiyo ya mkuu huyo kuunda tume imekuja mara baada ya kufanya kikao na watumishi, kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wagonjwa kuhusu huduma mbovu.
Akitoa agizo la kuundwa kwa kamati tatu za...
10 years ago
Habarileo15 Sep
Mwakyembe aunda Kamati ya Ajali
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameunda Kamati Maalumu iliyopewa kazi ya kuchunguza mambo mbalimbali ambayo yatasaidia kupunguza ajali za barabarani.
10 years ago
Mwananchi05 May
Pinda aunda kamati kusimamia usafiri
10 years ago
GPLWAZIRI MKUU AUNDA KAMATI KUSHUGHULIKIA USAFIRI
10 years ago
MichuziPAUL MAKONDA AUNDA KAMATI YA KUSHUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA ARDHI KINONDONI
Mkuu wa Wilaya la KinondoniMkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa wilaya ya Kinondoni inakabiliwa na changamoto migogoro ya ardhi ambayo inatakiwa kila mtu ambaye amenyimwa haki ya ardhi watapata kutokana na utaratibu uliopo.
Makonda aliyasema hayo hivi karibuni wakati ziara ya kutembelea wilaya hiyo, Makonda alisema asili ya migogoro hii inatokana hasa na mgongano wa uhalali wa umiliki pamoja na uvamizi wa maeneo ya wazi yaliyotengwa maalumu kwa shughuli za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ilkYCtnQMCk/VYK9iX4HyZI/AAAAAAAAG3g/Fp2Hk-dAKUU/s72-c/IMG_5730.jpg)
HAFLA YA KUMUAGA RAS TANGA NA KUMKARIBISHA RAS RUKWA KATIKA UKUMBI WA KANYAU SUMBAWANGA MJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ilkYCtnQMCk/VYK9iX4HyZI/AAAAAAAAG3g/Fp2Hk-dAKUU/s640/IMG_5730.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bCOW03ODzhI/VYK9knp8peI/AAAAAAAAG3s/0Y1WPEToBXY/s640/IMG_5741.jpg)