Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NSSF kuwaburuta mahakamani waajiri 34

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Morogoro unakusudia kuwafikisha mahakamani waajiri 34 kwa kushindwa kuwasilisha makato ya wafanyakazi wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bunda kuwaburuta mahakamani Wachina

Bunda. Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, inakusudia kuwashtaki mahakamani, Wachina wanaokarabati kwa kiwango cha lami, Barabara ya Musoma - Simiyu kutokana na kitendo chao cha kuchimba madini ndani ya eneo la halmashauri hiyo bila kulipa fidia.

 

11 years ago

Mwananchi

NSSF yawaburuta waajiri kortini Mbeya

Waajiri watatu mwishoni mwa wiki walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani hapa wakikabiliwa na mashtaka ya kutowasilisha michango ya wafanyakazi ambao ni wanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) bila sababu za msingi. Michango hiyo ni karibu Sh140 milioni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

PPF kuwafikisha waajiri mahakamani

MFUKO wa pensheni wa PPF umesema utawafikisha mahakamani waajiri ambao hawapeleki michango kwa wakati kwani hali hiyo inasababisha usumbufu kwa wateja wao. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Meneja wa...

 

9 years ago

Michuzi

NSSF KUFUATILIA MADENI KWA WAAJIRI SUGU

 Baadhi ya viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakibadirishana mawazo nje ya ukumbi. Washiriki wa warsha kuhusu mfuko wa NSSF ambao ni viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi .  Washiriki wa warsha ya NSSF kubadirishana mawazo.

Washiriki wakisililiza jambo kutoka kwa mmoja wa watoa mada za NSSF.
Na John Nditi, Morogoro.SHIRIKA  la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka  waajiri wa sekta mbalimbali  nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NSSF yaendesha semina kwa waajiri, wanachama

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, amewataka waajiri na wanachama wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kujadili changamoto zinazokabili shirika hilo na...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF MKOA WA TEMEKE YAWAPA SEMINA WAAJIRI WAKE KUHUSIANA NA MOBORESHO YA HUDUMA WANAZOTOA

Meneja Kiongozi wa NSSF Mkoa wa Temeke, Yahya Mhamali akizungumza wakati wa semina iliyoandaliwa na Mkoa wa NSSF Temeke kwa Waajiri wake ambayo ilihudhuriwa na Maofisa Rasirimali Watu pamoja na Wahasibu kwa ajili ya uelewa kuhusu moboresho ya formula mpya ya pensheni ambayo imetolewa na SSRA pamoja na huduma zilizoboreshwa kwa kiwango cha Kimatifa kwa NSSF Temeke (ISO). Semina hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam. Wa tatu kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WAAJIRI WOTE WASIOWASILISHA MICHANGO YA MAFAO YA WAFANYAKAZI KUJISALIMISHA WENYEWE NSSF

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mh Anthony Mavunde amewataka waajiri wote nchini ambao hawawasilishi michango  ya wafanyakazi kujisalimisha mapema wenyewe NSSF kabla ya kuchukulia hatua za kisheria.

Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo jana wakati wa kikao baina ya Menejimenti ya NSSF,Kampuni ya Knight Support na Wafanyakazi wa Knight Support juu ya mustakabali wa malimbikizo ya wasilisho la michango ya wafanyakazi pamoja na tozo ya adhabu inayofikia takribani...

 

9 years ago

Dewji Blog

NSSF yaendesha kongamano la Waajiri wa Taasisi mbalimbali za Kiserikali na zisizo za Kiserikali Mkoani Tanga!

1

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati akifungua kongamano la waajiri wa Taasisi mbalimbali ikiwemo za Kiserikali na zisizokuwa za kiserikali zilizokuwa na makao makuu yake mkoani Dar es Salaam lililofanyika jana mkoani Tanga kwenye hotel ya Tanga Beach, (Picha na Mwandishi Wetu).

4

Meneja Matekelezo na Kumbukumbu wa NSSF Makao Makuu, Maryam Muhaji akizungumza kwenye kongamano la waajiri wa Taasisi mbalimbali ikiwemo za...

 

10 years ago

Dewji Blog

NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF

Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.

Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.

Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana  mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.

Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani