PPF kuwafikisha waajiri mahakamani
MFUKO wa pensheni wa PPF umesema utawafikisha mahakamani waajiri ambao hawapeleki michango kwa wakati kwani hali hiyo inasababisha usumbufu kwa wateja wao. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Meneja wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziPPF YAWANOA WAAJIRI KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE MPYA IKIWEMO PPF TAARIFA APP
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVdd*KTT5cEIfagjqk61M9*RhAE4HTZ81CCmXzSqJGIuQtZGMtNNUW71fbJ56dns16VbrznQHmVnl5xUXfqaA3zt/1MENEJA.jpg?width=550)
PPF KUWABANA WAAJIRI WASIOWALIPIA WAFANYAKAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s72-c/index%25281%2529.jpg)
TAKUKURU KUWAFIKISHA MAHAKAMANI WATUMISHI SABA TPA ,WAKILI WA KUJITEGEMA KWA TUHUMA ZA MAKOSA YA RUSHWA, UHUJUMU UCHUMI NA WIZI WA SH.BILIONI NANE
![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s1600/index%25281%2529.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) pamoja na Wakili wa Kujitegemea kutoka Kampuni ya Mnengele &Associates na ELA Advocatee watafikishwa mahakamani wakati wowote kwa kushtakiwa kwa tuhuma za makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
Hayo yameelezwa leo Juni 12 mwaka 2020 na Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza Daud Ndyamukama kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari ambapo amefafanua watumishi hao tayari...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
NSSF kuwaburuta mahakamani waajiri 34
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF atembelea banda la PPF kujionea utendaji kazi wa PPF katika maonyesho ya Sabasaba
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa Mfuko huo wakati alipotembelea Banda laa PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake katika maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Mwl Nyerere.
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiteta jambo na wafanyakazi wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake. Kulia ni...
11 years ago
GPLMKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH WILLIAM ERIO ATEMBELEA BANDA LA PPF KUJIONEA UTENDAJI KAZI WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
GPLMWENYEKITI WA BODI YA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH. RAMADHAN KIJJAH AVUTIWA NA UTENDAJI KAZI WA PPF
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zh80Rjyy-9g/U2JLwK1XMtI/AAAAAAAFeZ4/-bD1QmxGVqs/s72-c/best+worker2.jpg)
PPF ILIVYOADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI LEO,RAIS KIKWETE AKAMKABIDHI ZAWADI MFANYAKAZI BORA WA PPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-zh80Rjyy-9g/U2JLwK1XMtI/AAAAAAAFeZ4/-bD1QmxGVqs/s1600/best+worker2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-whtZi16LaRw/U2JLqe66b3I/AAAAAAAFeZA/QRG02jrNiFo/s1600/DIRECTORS.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Washauriwa kuwafikisha wagonjwa wa akili hospitalini
WATANZANIA wanaoishi na wagonjwa wenye matatizo ya akili wametakiwa kuwafikisha hospitali mapema wagonjwa hao kutokana na ugonjwa huo kutibika. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa...