PPF KUWABANA WAAJIRI WASIOWALIPIA WAFANYAKAZI
![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVdd*KTT5cEIfagjqk61M9*RhAE4HTZ81CCmXzSqJGIuQtZGMtNNUW71fbJ56dns16VbrznQHmVnl5xUXfqaA3zt/1MENEJA.jpg?width=550)
Meneja Huduma kwa Wateja na Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bw. Godfrey Mollel akieleza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). Stori: Mwandishi Wetu MFUKO wa Pensheni (PPF) umesema kwamba endapo waajiri wa sekta mbalimbali waliojiunga na mfuko huo watashindwa kuwakilisha michango ya wafanyakazi wao kwa muda unaotakiwa hawatasita kuwachukulia hatua. Kauli hiyo ilitolewa na Meneja Huduma kwa Wanachama wa PPF,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziPPF YAWANOA WAAJIRI KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE MPYA IKIWEMO PPF TAARIFA APP
10 years ago
Mtanzania02 May
Serikali yaombwa kuwabana waajiri
Ramadhani Hassan na Pendo Mangala
WAFANYAKAZI Mkoa wa Dodoma wameishauri Serikali ihakikishe waajiri wanawaongezea mishahara kwa sababu malipo wanayolipwa sasa ni madogo.
Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Mkoa wa Dodoma, Ramadhani Mwenda, wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Mwenda alisema kipato cha ujira wa mshahara wa mwezi hakitoshi na kwamba mishahara ya watumishi ni...
9 years ago
Habarileo17 Aug
WCF yaahidi kuwabana waajiri
MFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umeahidi kuwabana waajiri watakaochelewa kuwasilisha michango ya watumishi wao kwa kuwatoza faini ya Sh milioni 50 kama adhabu.
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
CAG sasa kuwabana waajiri mikopo ya HESLB
Mkurugenzi Mtendaji – Bw. George Nyatega.
Na Mwandishi Wetu
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeanza kukagua taasisi za umma kuhusu utekelezaji wa matakwa ya sheria inayowataka kuwatambua waajiriwa walionufaika na mikopo ya elimu ya juu na kuwasilisha makato kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).
Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. George Nyatega, sheria iliyoanzisha HESLB inazitaka taasisi zzote za umma kuijulisha Bodi kwa maandishi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zh80Rjyy-9g/U2JLwK1XMtI/AAAAAAAFeZ4/-bD1QmxGVqs/s72-c/best+worker2.jpg)
PPF ILIVYOADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI LEO,RAIS KIKWETE AKAMKABIDHI ZAWADI MFANYAKAZI BORA WA PPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-zh80Rjyy-9g/U2JLwK1XMtI/AAAAAAAFeZ4/-bD1QmxGVqs/s1600/best+worker2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-whtZi16LaRw/U2JLqe66b3I/AAAAAAAFeZA/QRG02jrNiFo/s1600/DIRECTORS.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
PPF kuwafikisha waajiri mahakamani
MFUKO wa pensheni wa PPF umesema utawafikisha mahakamani waajiri ambao hawapeleki michango kwa wakati kwani hali hiyo inasababisha usumbufu kwa wateja wao. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Meneja wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
PSPF: Waajiri wapeni uhuru wafanyakazi
WAAJIRI wa sekta mbalimbali nchini wametakiwa kuheshimu na kuwapa uhuru watumishi wao kuchagua mfuko wowote wa hifadhi ya jamii wanaoupenda. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...
11 years ago
Habarileo22 Feb
Waajiri sekta ya madini kutupiwa jicho afya za wafanyakazi
SERIKALI imesema haitalifumbia macho suala la waajiri wa sekta ya madini na nishati ambao wamekuwa wakiwafukuza wafanyakazi baada ya kupata matatizo ya kiafya wakiwa kazini.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/23N41D9ngA0/default.jpg)