Bunda kuwaburuta mahakamani Wachina
Bunda. Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, inakusudia kuwashtaki mahakamani, Wachina wanaokarabati kwa kiwango cha lami, Barabara ya Musoma - Simiyu kutokana na kitendo chao cha kuchimba madini ndani ya eneo la halmashauri hiyo bila kulipa fidia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
NSSF kuwaburuta mahakamani waajiri 34
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/e_XL4gbiblg/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Mar
‘Wachina walitoa rushwa’
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Interpol yawasaka Wachina 30
11 years ago
Habarileo26 May
Wachina wavutana bandari ya Dar
UJENZI wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam umechelewa kutokana na sababu tatu, ikiwamo ya mzozo wa kampuni mbili za Kichina zilizowahi kusababisha mvutano kwa waliokuwa mawaziri wa Uchukuzi, Omar Nundu na Dk Athumani Mfutakamba.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachina waahidi kulinda viwango
11 years ago
Mwananchi13 May
Wachina tisa walazwa, JK aagiza
10 years ago
Habarileo18 Jun
Wachina ‘waliozamia’ nchini wahukumiwa
RAIA watatu wa China wamehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 300, 000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini na kufanya kazi bila kibali.
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Wachina wanaozungumza kiswahili China