Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachina tisa walazwa, JK aagiza

Wakati raia tisa wa China wakibainika kuugua ugonjwa wa dengue na kulazwa hapa nchini, Rais Jakaya Kikwete amevunja ukimya na kuagiza wizara zake mbili kukabiliana na ugonjwa huo kwa dharura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walazwa bila mashuka Tumbi

Baadhi ya wagonjwa waliolazwa na kupatiwa huduma mbalimbali katika Hospitali Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi wamesema wapo katika hatari ya kupata magonjwa ya kuambukiza hasa ya ngozi kutokana na vitanda wanavyolalia kutokua na mashuka na vichache kutumika bila kubadilishwa mashuka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Saba walazwa kwa dengue Amana

WAGONJWA saba wamelazwa katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar es Salaam baada ya kugundulika kuwa wana ugonjwa wa homa ya dengue, huku wengine 50 wakipatiwa matibabu na kuruhusiwa kwenda...

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chaua Mbeya, sita walazwa

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine sita kulazwa katika Hospitali ya Makandana wilayani Rungwe Mkoa wa Mbeya kwa kuugua kipindupindu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea washinda, Man Utd walazwa nyumbani

Chelsea wamerejelea ushindi baada ya kulaza Sunderland 3-1 mechi yao ya kwanza bila Mourinho lakini Man Utd wamepokezwa kichapo cha 2-1 na Norwich City.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 19 walazwa kwa kula samaki Pemba

Watu 19 wakazi wa Kijiji cha Sizini Wilaya ya Micheweni wamelazwa hospitali ya wilaya hiyo baada ya kula samaki aina ya puju ambaye anadhaniwa kuwa na sumu.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 270 walazwa kwa kunywa togwa

Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.

 

11 years ago

Vijimambo

Wanafunzi 39 walazwa kunywa maji yenye petroli

Wanafunzi 39 wa Shule ya msingi ya Fahari jijini Dar es Salaam wanapatiwa matibabu katika Hospitali ya Zakhem, baada ya kunywa maji yanayohisiwa kuchanganywa na mafuta ya petroli.

Hata hivyo, wanafunzi watatu wanashikiliwa na Jeshi la polisi wakituhumiwa kuhusika na tukio hilo.Tukio hilo limetokea jana asubuhi wakati wakipata chai na kunywa maji hayo yaliyohifadhiwa kwenye plastiki maalum linalomilikiwa na shule hiyo.

Mwalimu wa zamu, Ali Elias, alisema tukio hilo limesababisha wanafunzi wa...

 

10 years ago

StarTV

Kipindupindu chazidi kuwa tishio chapiga hodi singida 11 walazwa.

WAKATI ukiwa bado ukiendelea kutikisa katika Jiji la Dar-es-Salamu na kuua watu wengi, ugonjwa wa Kipindupindu umeingia katika Manispaa ya Singida ambapo watu 11 wamelazwa kwenye kambi iliyotengwa eneo la viwanja vya Mandewa kwa ajili ya kutibu wenye dalili za ugonjwa huo.

 Tayari watu watatu miongoni mwa 11 waliozwa kwenye kambi iliyoanzishwa wakiharisha na kutapika, wamefanyiwa vipimo vya kitaalamu na kubainika kuwa na ugonjwa huo hatari wa kipindupindu.

 Akizungumza na waandishi wa habari...

 

11 years ago

CloudsFM

WATU 270 WALAZWA KWA KUNYWA TOGWA ILIYOSADIKIWA KUWA NA SUMU

Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.
Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea.

Wingi wa wagonjwa hao umesababisha zahanati hiyo kuelemewa na kiasi cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani