Kipindupindu chaua Mbeya, sita walazwa
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine sita kulazwa katika Hospitali ya Makandana wilayani Rungwe Mkoa wa Mbeya kwa kuugua kipindupindu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Kipindupindu chaua 17 Mwanza
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Kipindupindu chaua 21 Mwanza
9 years ago
Habarileo18 Sep
Kipindupindu chaua 2 Dodoma
WAKAZI wawili wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.
9 years ago
StarTV29 Sep
Kipindupindu chazidi kuwa tishio chapiga hodi singida 11 walazwa.
WAKATI ukiwa bado ukiendelea kutikisa katika Jiji la Dar-es-Salamu na kuua watu wengi, ugonjwa wa Kipindupindu umeingia katika Manispaa ya Singida ambapo watu 11 wamelazwa kwenye kambi iliyotengwa eneo la viwanja vya Mandewa kwa ajili ya kutibu wenye dalili za ugonjwa huo.
Tayari watu watatu miongoni mwa 11 waliozwa kwenye kambi iliyoanzishwa wakiharisha na kutapika, wamefanyiwa vipimo vya kitaalamu na kubainika kuwa na ugonjwa huo hatari wa kipindupindu.
Akizungumza na waandishi wa habari...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Kipindupindu chaua mwingine Geita
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Kipindupindu chaua 36 Dar es Salaam
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Kipindupindu chaua mwingine Dar
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Kipindupindu chaua wawili Dodoma
WATU wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 120 wamelazwa katika vituo vya kutolea huduma ya kwanza katika wilaya tano za Mkoa wa Dodoma kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Ofisa Afya wa Mkoa wa Dodoma, Edward Ganja alisema watu wawili wamefariki dunia kutokana na ugonjwa huo katika Wilaya ya Kongwa.
Ugonjwa wa kipindupindu umeripotiwa kuingia mkoani hapa tangu Septemba mwaka huu katika wilaya za Kongwa, Chamwino, Bahi, Manispaa ya...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Kipindupindu chaua mmoja wilayani Nkasi
UGONJWA wa kipindupindu umeibuka wilayani Nkasi mkoani Rukwa na mpaka sasa umeua mtu huku wengine 19 wakipatiwa matibabu katika vituo vitatu tofauti vilivyotengwa katika mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani humu baada ya kuathirika kwa ugonjwa huo.