Kipindupindu chaua mwingine Geita
 Siku chache baada ya wagonjwa wawili kufariki dunia kati ya 50 waliobainika kuugua ugonjwa wa kipindupindu katika Wilaya ya Geita, mgonjwa mwingine amefariki kwa ugonjwa huo.   Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Kipindupindu chaua mwingine Dar
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Kipindupindu chaua 21 Mwanza
9 years ago
Habarileo18 Sep
Kipindupindu chaua 2 Dodoma
WAKAZI wawili wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Kipindupindu chaua 17 Mwanza
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Kipindupindu chaua wawili Dodoma
WATU wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 120 wamelazwa katika vituo vya kutolea huduma ya kwanza katika wilaya tano za Mkoa wa Dodoma kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Ofisa Afya wa Mkoa wa Dodoma, Edward Ganja alisema watu wawili wamefariki dunia kutokana na ugonjwa huo katika Wilaya ya Kongwa.
Ugonjwa wa kipindupindu umeripotiwa kuingia mkoani hapa tangu Septemba mwaka huu katika wilaya za Kongwa, Chamwino, Bahi, Manispaa ya...
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Kipindupindu chaua 36 Dar es Salaam
9 years ago
Habarileo20 Nov
Kipindupindu chaua mmoja wilayani Nkasi
UGONJWA wa kipindupindu umeibuka wilayani Nkasi mkoani Rukwa na mpaka sasa umeua mtu huku wengine 19 wakipatiwa matibabu katika vituo vitatu tofauti vilivyotengwa katika mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani humu baada ya kuathirika kwa ugonjwa huo.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Kipindupindu chaua Mbeya, sita walazwa
9 years ago
Vijimambo27 Aug
Kipindupindu Dar chaua 10, wagonjwa sasa wafikia 65
Nipashe ilitembelea katika Kambi ya Mburahati wilayani Kinondoni jana na kushuhudia madaktari na wauguzi wakiendelea kutoa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili msimamizi wa kambi hiyo, ambaye pia ni Mratibu wa Mafunzo Idara ya Afya Wilaya ya Kinondoni, Alfred Ngowi, alisema hadi...