Kipindupindu chaua 36 Dar es Salaam
Watu 36 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu katika Jiji la Dar es Salaam tangu Agosti 15.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Kipindupindu chaua mwingine Dar
10 years ago
Vijimambo27 Aug
Kipindupindu Dar chaua 10, wagonjwa sasa wafikia 65
Nipashe ilitembelea katika Kambi ya Mburahati wilayani Kinondoni jana na kushuhudia madaktari na wauguzi wakiendelea kutoa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili msimamizi wa kambi hiyo, ambaye pia ni Mratibu wa Mafunzo Idara ya Afya Wilaya ya Kinondoni, Alfred Ngowi, alisema hadi...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Kipindu pindu chaua wawili Dar es Salaam
UGONJWA wa kipindupindu umeripotiwa katika Jiji la Dar es Salaam na watu wawili wamethibitika kufa. Wengine zaidi ya 30 wamelazwa katika hospitali za Mwananyamala na Sinza zilizopo Manispaa ya Kinondoni.
10 years ago
Habarileo18 Sep
Kipindupindu chaua 2 Dodoma
WAKAZI wawili wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Kipindupindu chaua 21 Mwanza
10 years ago
Mwananchi01 Nov
Kipindupindu chaua 17 Mwanza
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Kipindupindu chaua wawili Dodoma
WATU wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 120 wamelazwa katika vituo vya kutolea huduma ya kwanza katika wilaya tano za Mkoa wa Dodoma kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Ofisa Afya wa Mkoa wa Dodoma, Edward Ganja alisema watu wawili wamefariki dunia kutokana na ugonjwa huo katika Wilaya ya Kongwa.
Ugonjwa wa kipindupindu umeripotiwa kuingia mkoani hapa tangu Septemba mwaka huu katika wilaya za Kongwa, Chamwino, Bahi, Manispaa ya...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Kipindupindu chaua mwingine Geita
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Kipindupindu chaua Mbeya, sita walazwa