Wachina ‘waliozamia’ nchini wahukumiwa
RAIA watatu wa China wamehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 300, 000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini na kufanya kazi bila kibali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo nchini Misri
Miongoni mwao ni kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Dk Kigoda awaita Wachina zaidi nchini
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amewaomba wawekezaji wa Kichina kuwekeza zaidi nchini ili kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi na maendeleo.
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Coronavirus: 'Unyanyapaa' ulivyochochea chuki dhidi ya Wachina nchini Kenya
Kabla ya kurekodi hata kisa kimoja cha maambukizi ya virusi vya Corona, Kenya imeshuhudia unyanyapaa dhidi ya Wachina mara kadhaa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uZ1tqRQRY_c/VTEfaCqwtuI/AAAAAAAHRrE/y2thjXRrYvk/s72-c/1.jpg)
TRA yawapa somo wachina kuhusu sheria za ukusanyaji kodi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-uZ1tqRQRY_c/VTEfaCqwtuI/AAAAAAAHRrE/y2thjXRrYvk/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s72-c/8.jpg)
News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria
![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s1600/8.jpg)
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Wahukumiwa jela miaka 90
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kifungo cha miaka 90 jela washtakiwa Maulid Dotto, maarufu kama Mau Mchina, Nestory Antony maarufu kama Antony China na Bavon Ernest baada ya kupatikana na atia ya kufanya tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha na wizi wa mali ya Sh3.4 milioni.
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
69 wahukumiwa maisha Misri
Mahakama ya Misri imewahukumia kifungo ncha maisha jela, watu 69 baada ya kupatikana na hatia kuchoma kanisa moja nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Wanne wahukumiwa kifo Mwanza
Mahakama kuu ya Tanzania Mwanza imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wa mauaji ya albino.
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Saba wahukumiwa wizi ATM
Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imewahukumu watu saba akiwamo mwanamke mmoja kwa makosa mbalimbali ya wizi wa mifugo na kutumia kadi za benki maarufu ATM.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania