Dk Kigoda awaita Wachina zaidi nchini
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amewaomba wawekezaji wa Kichina kuwekeza zaidi nchini ili kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi na maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jun
Wachina ‘waliozamia’ nchini wahukumiwa
RAIA watatu wa China wamehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 300, 000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini na kufanya kazi bila kibali.
10 years ago
Michuzi14 Oct
MWILI WA DR KIGODA KUWASILI LEO NCHINI

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi.
Ofisa habari wa Bunge, Prosper Minja ameiambia Mwananchi kuwa mwili huo utawasili saa nane mchana kwa ndege ya Emirates na kwenda kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya jeshi ya Lugalo.
Minja amefafanua kuwa shughuli za kuaga mwili huo zitafanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee kuanzia saa mbili...
11 years ago
MichuziWaziri wa Viwanda ba Biashara Dr. Kigoda afunga mafunzo ya wajasiliamali zaidi ya 3500 jijini Dar es Salaam
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Waziri Kigoda afariki dunia nchini India
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Coronavirus: 'Unyanyapaa' ulivyochochea chuki dhidi ya Wachina nchini Kenya
10 years ago
Michuzi
TRA yawapa somo wachina kuhusu sheria za ukusanyaji kodi nchini

10 years ago
Dewji Blog12 Oct
News Alert; Waziri Kigoda afariki dunia nchini India
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh Abdallah Kigoda (pichani) amefariki dunia jioni hii nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo cha Mh Kigoda ambaye pia alikuwa mbunge wa Handeni mkoani Tanga zimethibitishwa na ofisi ya Bunge jijini Dar es Salaam.
Mhe. Dkt. Kigoda alikwenda nchini India kwa matibabu tarehe 18 Septemba, 2015, kupata matibabu katika hospitali Hiyo ya Apollo. Taarifa zaidi kutolewa baadaye.
Modewji Blog inaungana na Familia ya Marehemu pamoja na Watanzania kwa...
11 years ago
Michuzi
Mh. Kigoda afungua maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China leo jijini Dar

.jpg)