Wahukumiwa jela miaka 90
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kifungo cha miaka 90 jela washtakiwa Maulid Dotto, maarufu kama Mau Mchina, Nestory Antony maarufu kama Antony China na Bavon Ernest baada ya kupatikana na atia ya kufanya tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha na wizi wa mali ya Sh3.4 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLVIGOGO TBA WAHUKUMIWA MIAKA 9 JELA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaoh01WT5wSix0xw*8ccp7bvM6SIiC-7XHXRgHQ04Z5iN6uVoeZufJd1BYxhWn*Gzt8ZZikk6QfphL2Qqww1cWzD/BREAKING.gif)
MRAMBA, YONA WAHUKUMIWA MIAKA 3 JELA NA FAINI YA MILIONI 5
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya nzega imewahukumu kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward bunera ,shaaban amuru,john ndaki,pius shija ,aloyce zindoro ,davidi ndaki pamoja na frenk kabuche wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada kutiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u-_IVDpor1s/XrfLlTesAjI/AAAAAAALpp4/VXwc-Og4jjsoDaYHB0ZgPxOU3XnZeqJpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200510-WA0003.jpg)
ALIYEKUWA MWEKA HAZINA SIMANJIRO NA MHASIBU WAHUKUMIWA MIAKA SABA JELA
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Peter Mollel na mhasibu msaidizi Ester Melkior wamehukumiwa kifungo cha miaka saba kwenda jela na kulipa faini ya shilingi milioni 36 kila mmoja kwa makosa ya wizi wakiwa mtumishi wa umma.
Kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2008 na 2010 watu hao walishirikiana kuzidisha orodha ya walipwaji mishahara ya watumishi wa halmashauri hiyo na kuwasilisha benki kisha kujipatia sh34.5 milioni.
Naibu msajili wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
BREAKING NEWSSSS: Basil MRAMBA NA Daniel YONA WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3. Grey Mngonja huru
![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5tWXbxAUuPo/VZpvmJY22FI/AAAAAAAHnRA/WsWRa7gzewc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCEo0sFcY4I/VZp0_O9kIJI/AAAAAAAHnSA/4S41A0Tigbc/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oU_EdyLSXU8/VnMRrop7uiI/AAAAAAAINKM/oIz9IctoBds/s72-c/51bd7d1d-3b49-4631-8d4c-6ba5a0fd3c87.jpg)
Raia wanne wa China wahukumiwa kutumikia miaka 20 jela kila mmoja kwa Uhujumu uchumi mkoani Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-oU_EdyLSXU8/VnMRrop7uiI/AAAAAAAINKM/oIz9IctoBds/s640/51bd7d1d-3b49-4631-8d4c-6ba5a0fd3c87.jpg)
Washatkiwa wanne wa China wakipanda karandinga baada ya kuhukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Zaidi ya shilingi bilioni 10 baada ya kukutwa na makosa matatu ya kuhujumu uchumi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XuLg6CxUePA/VnMRuTlLcqI/AAAAAAAINKk/fFIfOSEFppY/s640/ndovu.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A7iUsl_b1e8/VnMSFW5pJzI/AAAAAAAINKs/AD5xUX0K2bM/s640/ddc07c45-ec55-4001-937e-6015ed59afe3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi 500,000 kila mmoja ama kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100 kinyume na sheria.
Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Raia wanne wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la kuhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-1BIq66NTZYU/VnMFlIVetMI/AAAAAAAAVPM/RTUFVaP4vK4/s640/ndovu12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMk73Npq4JY/VnMFkHdt44I/AAAAAAAAVPE/6-HoGPr4IZA/s640/ndovu.jpg)
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya.Jamiimojablog
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China na kulipa faini baada ya kukutwa na hatia kwa makosa matatu ikiwemo uhujumu uchumi kwa kukutwa na pembe za faru.
Kabla ya kuanza kusoma hukumu Hakimu mfawidhi Michael Mteite alianza kuwashukuru Mawakili wa Serikali na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s72-c/download.jpg)
news alert: wawili wahukumiwa faini shilingi milioni 15 ama jela miaka 15 kwa ujenzi wa jengo la ghorofa 18 jijini dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s1600/download.jpg)
Washtakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake Richard Maliyaga (55) wote wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Sundi...