ALIYEKUWA MWEKA HAZINA SIMANJIRO NA MHASIBU WAHUKUMIWA MIAKA SABA JELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-u-_IVDpor1s/XrfLlTesAjI/AAAAAAALpp4/VXwc-Og4jjsoDaYHB0ZgPxOU3XnZeqJpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200510-WA0003.jpg)
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Peter Mollel na mhasibu msaidizi Ester Melkior wamehukumiwa kifungo cha miaka saba kwenda jela na kulipa faini ya shilingi milioni 36 kila mmoja kwa makosa ya wizi wakiwa mtumishi wa umma.
Kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2008 na 2010 watu hao walishirikiana kuzidisha orodha ya walipwaji mishahara ya watumishi wa halmashauri hiyo na kuwasilisha benki kisha kujipatia sh34.5 milioni.
Naibu msajili wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yz_PVsX_Yrk/XrUsJCGWC2I/AAAAAAALpeA/DHeOxsp47zogj1JF8PR61vDXSEpP_xlZACLcBGAsYHQ/s72-c/image1.png)
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Wahukumiwa jela miaka 90
11 years ago
GPLVIGOGO TBA WAHUKUMIWA MIAKA 9 JELA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaoh01WT5wSix0xw*8ccp7bvM6SIiC-7XHXRgHQ04Z5iN6uVoeZufJd1BYxhWn*Gzt8ZZikk6QfphL2Qqww1cWzD/BREAKING.gif)
MRAMBA, YONA WAHUKUMIWA MIAKA 3 JELA NA FAINI YA MILIONI 5
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya nzega imewahukumu kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward bunera ,shaaban amuru,john ndaki,pius shija ,aloyce zindoro ,davidi ndaki pamoja na frenk kabuche wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada kutiwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Hukumu ya Mweka Hazina Kinondoni Juni 25
HUKUMU ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mweka Hazina wa Manispaa ya Kinondoni, Alfred Mlowe na wenzake 12 inatarajiwa kutolewa Juni 25 mwaka huu. Kesi hiyo namba 38/2013...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Kesi ya Mweka Hazina Kinondoni yapigwa kalenda
KESI ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mweka Hazina Manispaa ya Kinondoni, Alferd Mlowe, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Tanga imeahirishwa hadi Machi 11 mwaka huu. Mlowe aliyetokea Halmashauri...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Mweka hazina Kibaha awekwa kiti moto
MADIWANI wa Halmashauri ya Mji Kibaha, wamemshukia Mweka Hazina wa Halmashauri hiyo kutokana na kusuasua kwa malipo ya wakandarasi na watu wengine huku kukiwa hakuna sababu maalumu. Wakizungumza kwa jazba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QPOkSzFrrLE/Xlz26FVA3cI/AAAAAAACz3I/sKHB4as4m-wRmMDZzINMECIXzy8LM1zowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU : MWEKA HAZINA MKINGA ACHUNGUZWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-QPOkSzFrrLE/Xlz26FVA3cI/AAAAAAACz3I/sKHB4as4m-wRmMDZzINMECIXzy8LM1zowCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Amesema hajaridhishwa na utendaji wake kwa kuwa ameshindwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na hata hicho kidogo kinachokusanywa hakifikishwi Serikali.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Machi 2, 2020) wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga pamoja na wananchi baada ya kufungua...