WAZIRI MKUU : MWEKA HAZINA MKINGA ACHUNGUZWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-QPOkSzFrrLE/Xlz26FVA3cI/AAAAAAACz3I/sKHB4as4m-wRmMDZzINMECIXzy8LM1zowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Bibi Judica Omari achunguze utendaji kazi wa Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga, Bibi Juan Mening.
Amesema hajaridhishwa na utendaji wake kwa kuwa ameshindwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na hata hicho kidogo kinachokusanywa hakifikishwi Serikali.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Machi 2, 2020) wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga pamoja na wananchi baada ya kufungua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SZfpc0ftlAI/XmFVP_Kd90I/AAAAAAALhaA/zeO41sR5UAU9Nt9_Nl3wa9e5gZd-Gy2WwCLcBGAsYHQ/s72-c/00.jpg)
WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA KAZI MWEKA HAZINA KOROGWE NA MAAFISA WAWILI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mweka Hazina wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Subilaga Kapange pamoja na maafisa wengine wawili wanaosimamia ukusanyaji wa mapato katika kituo cha mabasi cha Korogwe baada ya kushindwa kuwasilisha mapato Serikalini.
“Mnakusanya fedha na kuziweka mfukoni hazipelekwi benki mnazitumia kwa matumizi yenu binafsi na kuna siku inaonesha hamjakusanya chochote, hatuwezi kuvumia hali hii hawa wote wakamatwe na wawekwe ndani na hii iwe funzo kwa waweka...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Hukumu ya Mweka Hazina Kinondoni Juni 25
HUKUMU ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mweka Hazina wa Manispaa ya Kinondoni, Alfred Mlowe na wenzake 12 inatarajiwa kutolewa Juni 25 mwaka huu. Kesi hiyo namba 38/2013...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Kesi ya Mweka Hazina Kinondoni yapigwa kalenda
KESI ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mweka Hazina Manispaa ya Kinondoni, Alferd Mlowe, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Tanga imeahirishwa hadi Machi 11 mwaka huu. Mlowe aliyetokea Halmashauri...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Mweka hazina Kibaha awekwa kiti moto
MADIWANI wa Halmashauri ya Mji Kibaha, wamemshukia Mweka Hazina wa Halmashauri hiyo kutokana na kusuasua kwa malipo ya wakandarasi na watu wengine huku kukiwa hakuna sababu maalumu. Wakizungumza kwa jazba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yz_PVsX_Yrk/XrUsJCGWC2I/AAAAAAALpeA/DHeOxsp47zogj1JF8PR61vDXSEpP_xlZACLcBGAsYHQ/s72-c/image1.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u-_IVDpor1s/XrfLlTesAjI/AAAAAAALpp4/VXwc-Og4jjsoDaYHB0ZgPxOU3XnZeqJpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200510-WA0003.jpg)
ALIYEKUWA MWEKA HAZINA SIMANJIRO NA MHASIBU WAHUKUMIWA MIAKA SABA JELA
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Peter Mollel na mhasibu msaidizi Ester Melkior wamehukumiwa kifungo cha miaka saba kwenda jela na kulipa faini ya shilingi milioni 36 kila mmoja kwa makosa ya wizi wakiwa mtumishi wa umma.
Kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2008 na 2010 watu hao walishirikiana kuzidisha orodha ya walipwaji mishahara ya watumishi wa halmashauri hiyo na kuwasilisha benki kisha kujipatia sh34.5 milioni.
Naibu msajili wa...
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Maelfu wajitokeza kumuaga mweka hazina wa manispaa ya Ilala marehemu Medard Kabikile Stima, azikwa Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-K72BT3NSJwY/U-AFlYg-lqI/AAAAAAAA-js/1R7D2bAjqJE/s1600/IMG_3844.jpg)
Pichani ni Watoto wa marehemu Medard Kabikile Stima ambaye alikuwa ni Mweka hazina wa Manispaa ya Ilala wakiwa wamebeba msalaba pamoja na picha kuongoza kuingiza mwili katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam ili kuangwa kiserikali na baadae kuelekea kanisani na kwenye makaburi ya Kinondoni ambapo Agosti 4, 2014 wamempumzisha katika nyumba yake ya milele.
Marehemu Stima alikufa katika ajali ya gari iliyotokea July 31, 2014 karibu na eneo la Bwawani, wakati wakielekea mjini...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI AWESO AMWEKA NDANI MKANDARASI WA MAJI MKINGA KUSHINDWA KUSIMAMIA MRADI WA MAJI MBUTA
NAIBU Waziri wa Maji Juma Aweso ameliamuru Jeshi la Polisi wilayani Mkinga kumkatama Mhandisi wa Wakala wa Maji Vijiji (Ruwasa) wilaya ya Mkinga Castory Keneth kutokana na kushindwa kusimamia mradi wa maji wa Mbuta na kupelekea kushindwa kukamilika kwa wakati huku wananchi wakiendelea kutekeseka kupata huduma hiyo muhimu.
Mradi huo ulianza 2013 ambapo serikali ilitoa kiasi cha zaidi ya milioni 400 lakini utekelezaji wake ulishindwa kukamilika na kupeleke tatizo la maji kwenye eneo...