Kesi ya Mweka Hazina Kinondoni yapigwa kalenda
KESI ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mweka Hazina Manispaa ya Kinondoni, Alferd Mlowe, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Tanga imeahirishwa hadi Machi 11 mwaka huu. Mlowe aliyetokea Halmashauri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Hukumu ya Mweka Hazina Kinondoni Juni 25
HUKUMU ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mweka Hazina wa Manispaa ya Kinondoni, Alfred Mlowe na wenzake 12 inatarajiwa kutolewa Juni 25 mwaka huu. Kesi hiyo namba 38/2013...
11 years ago
Habarileo06 Mar
Kesi ya EPA yapigwa kalenda
KESI ya wizi wa Sh milioni 207 kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) imeahirishwa kutokana na Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajab Maranda anayekabiliwa na kesi hiyo, amelazwa hospitali.
5 years ago
Bongo514 Feb
Kesi ya Scorpion yapigwa kalenda
Kesi ya inayomkabili Salum Njwete, maarufu ‘Scorpion’ ya unyang’anyi kwa kutumia silaha imeahirishwa hadi Mei 2 mwaka huu, kufuatia shahidi namba nane kwenye kesi hiyo kushindwa kufika mahakamani hapo.
Kesi hiyo iliahirishwa Jumanne hii na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Flora Haule, kwa kuongozwa na Wakili wa Serikali, Cheses Gavyiole, baada ya Deus Magosa (45), ambaye ni shahidi wa nane upande wa Jamhuri katika kesi hiyo ya kumjeruhi kwa kumtoboa macho Saidi Mrisho, kushindwa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Kesi ya Zitto yapigwa kalenda
KESI iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA) ya kupinga kujadili uanachama wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeahirishwa hadi Aprili mosi. Kesi hiyo iliahirishwa jana...
11 years ago
Mwananchi20 May
Kesi ya Pinda yapigwa kalenda
10 years ago
Habarileo21 Mar
Kesi ya Ponda yapigwa kalenda
KESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda, ambayo kwa sasa ipo kwenye hatua ya utetezi haikuendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani hapa, baada ya hakimu anayesikiliza kesi hiyo kutofika mahakamani hapo jana.
11 years ago
MichuziKESI YA MRAMBA YAPIGWA KALENDA
Mapema mwaka jana Jopo la mahakimu watatu linalosikiliza kesi hiyo, likiongozwa na Jaji John...
11 years ago
GPL
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Kesi ya wakili Yasinta yapigwa kalenda
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeiahirisha kesi inayomkabili Wakili wa Serikali,Yasinta Rwechungura (44), Mkazi wa Boko Njiapanda, jijini Dar es Salaam hadi Agosti 29, mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika....