Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria,sera ya kazi tatizo kwa waajiri

Imeelezwa kuwa waajiri kutofahamu vyema Sera ya kazi ya mwaka 2008 na Sheria ya kazi, iliyoandikwa na Shirika la Kazi Ulimwenguni(ILO), husababisha migogoro mahala pa kazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA KAZI ZANZIBAR KWA KUSHIRIKIANA NA (ILO) YAZINDUA KITABU CHA SHERIA ZA KAZI KATIKA LUGHA NYEPESI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi na Utumishi wa Umma Haroun Ali Suleiman na Mkurugenzi wa (ILO) kanda ya Afrika Aeneas C. Chuma wakizindua kitabu cha sheria za Kazi katika lugha nyepesi, katika Hoteli ya Double Tree Shangani Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi na Utumishi wa Umma Haroun Ali Suleiman akizungumza na wageni waalikwa katika sherehe za Uzinduzi wa kitabu cha sheria za Kazi katika lugha nyepesi katika Hoteli ya Double Tree...

 

10 years ago

Habarileo

Waajiri watakiwa kufuata sheria

MWENYEKITI mpya wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) amewataka waajiri na wafanyakazi wote nchini kufuata Sheria na Taratibu za Kazi, kwani uvunjwaji wake ndio chanzo kikubwa cha uwepo wa migogoro mingi inayowasilishwa kwenye tume hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu ni kufanya kazi kwa mazoea

Ninakumbuka nilisema wiki jana kuwa tatizo letu kubwa linalotusumbua Watanzania  ni  kupenda zaidi kusema, lakini siyo watendaji.

 

10 years ago

StarTV

Tanzania yahitaji sera, mikakati madhubuti katika kukabili tatizo la umeme.

Na Immaculate Kilulya,

Dar Es Salaam.

 

 

 

Shirika la Utunzaji wa Mazingira Duniani WWF limesema kuna haja kwa Tanzania kuwa na sera na mikakati ya kufikisha nishati ya umeme kwa asilimia 35 ya watanzania ambao bado kufikiwa na nishati hiyo bila kuathiri mazingira.

 

WWF imesema uharibifu wa mazingira umechangia kwa kiasi kikukbwa mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo mafuriko na kwamba bado jitihada za ziada zinahitajika za kukabiliana na mabadiliko hayo.

 

Asilimia 65 ya watanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Watumishi Katiba na Sheria waaswa kufanya kazi kwa malengo

Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wameaswa kuendeleza ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yao ili kutimiza malengo ambayo Wizara imejiwekea.
Akizungumza na watumishi wa makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Novemba 20, 2014), Katibu Mkuu Bi.  Maimuna Tarishi amesema ushirikiano na upendo ni ngunzo muhimu za mafanikio katika taasisi yoyote.
“Watumishi wa umma, hasa tuliopo Dar es Salaam, tunatumia muda mrefu tukiwa kazini hivyo tunatakiwa tupendane na...

 

11 years ago

Mwananchi

Sera, sheria zawakwamisha wanawake wajasiriamali

Wanawake nchini, wanawajibika kwa asilimia kubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini. Wanashiriki katika shughuli mbalimbali za biashara na kuchangia ukuaji wa uchumi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kutokujua sera, sheria za ardhi huchangia migogoro

MIGOGORO mingi ya ardhi nchini inatokana na ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika utungaji wa sera, sheria za ardhi au wakati wa kuifanyia marekebisho. Kauli hiyo ilitolewa na Mwanasheria wa Haki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani