Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yahitaji sera, mikakati madhubuti katika kukabili tatizo la umeme.

Na Immaculate Kilulya,

Dar Es Salaam.

 

 

 

Shirika la Utunzaji wa Mazingira Duniani WWF limesema kuna haja kwa Tanzania kuwa na sera na mikakati ya kufikisha nishati ya umeme kwa asilimia 35 ya watanzania ambao bado kufikiwa na nishati hiyo bila kuathiri mazingira.

 

WWF imesema uharibifu wa mazingira umechangia kwa kiasi kikukbwa mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo mafuriko na kwamba bado jitihada za ziada zinahitajika za kukabiliana na mabadiliko hayo.

 

Asilimia 65 ya watanzania...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sera madhubuti kuiondoa nchi katika umasikini

SERIKALI imetakiwa kutunga sera madhubuti za matumizi ya rasilimali ili kuondokana na tatizo la umasikini kwa lengo la kuinua uchumi wa nchi ili kufikia maendeleo ya milenia kama ilivyopangwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sera madhubuti ya gesi kuinyayua Tanzania

Mipawa to Ghana

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa (kushoto) akielekea kukwea pipa kuelekea nchini Ghana kwenye ziara ya mafunzo ya wiki mbili. 

Na Marco Mipawa, Accra- Ghana

Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza katika maendeleo ya uchumi iwapo itaweka sera madhubuti za uzalishaji wa Gesi na kuwa na viongozi wenye dhamira dhabiti ya kuiendeleza nchi na kuboresha maisha ya watu.

Haya yamebainishwa na Meneja wa Redio Kahama FM Marco Mipawa leo wakati akiendelea na ziara ya mafunzo nchini Ghana...

 

10 years ago

GPL

SERA MADHUBUTI YA GESI KUINYAYUA TANZANIA‏

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa (kushoto) akielekea kukwea pipa kuelekea nchini Ghana kwenye ziara ya mafunzo ya wiki mbili. Na Marco Mipawa, Accra- Ghana Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza katika maendeleo ya uchumi iwapo itaweka sera madhubuti za uzalishaji wa Gesi na kuwa na viongozi wenye dhamira dhabiti ya kuiendeleza nchi na kuboresha maisha ya watu. Haya yamebainishwa na Meneja wa Redio Kahama FM Marco...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania ipo kwenye mikakati kukabili wizi wa fedha kwa kutumia mitandao

Jitihada za Serikali katika kupambana na uhalifu wa mitandao imeungwa mkono kutokana na baadhi ya vyuo kuanzisha mitalaa yenye somo la ulinzi wa  mitandao.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania: Taifa lenye mikakati mizuri, tatizo ni utekelezaji

Kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikianzisha mipango, sera, miradi na mikakati mbalimbali ya kilimo kwa lengo kuinua uchumi wa Tanzania.

 

10 years ago

Dewji Blog

Taarifa kuhusu tatizo la umeme katika uwanja wa ndege wa Mwanza

Mwanza-aa

Kufuatia tatizo la kiufundi la umeme katika uwanja wa Ndege wa Mwanza ambalo lilisababisha ndege za kampuni ya Fastjet kukatisha safari zake zote za usiku kuepuka kuhatarisha maisha ya abiria na wafanyakazi, tunapenda kuwashukuru wateja wetu wote kwa ushirikiano wao na uvumilivu waliotuonyesha na tunawaomba wawasiliane nasi ili kupata maelezo zaidi juu ya safari zao.

Wakati mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania ikiendelea kufanya juhudi za kutatua tatizo hili,  safari zetu za usiku za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na mikakati kukabili machafuko

Makamu wa rais wa Marekani Joe Biden amefungua mkutano wa siku tatu mjini Washington kupambana na kukithiri kwa machafuko.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza

DSC_0103

Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.

Na modewji blog team

Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani