Tanzania: Taifa lenye mikakati mizuri, tatizo ni utekelezaji
Kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikianzisha mipango, sera, miradi na mikakati mbalimbali ya kilimo kwa lengo kuinua uchumi wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
CCM Lindi yakutana kuweka mikakati mizuri

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha...
10 years ago
Vijimambo10 Jan
TATIZO LA KUTOAMINIANA LITAATHIRI UTEKELEZAJI WA SDGs-TANZANIA


10 years ago
Michuzi
TATIZO LA KUTOAMINIANA LITAATHIRI UTEKELEZAJI WA SDGs- —TANZANIA


10 years ago
StarTV10 Feb
Tanzania yahitaji sera, mikakati madhubuti katika kukabili tatizo la umeme.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Shirika la Utunzaji wa Mazingira Duniani WWF limesema kuna haja kwa Tanzania kuwa na sera na mikakati ya kufikisha nishati ya umeme kwa asilimia 35 ya watanzania ambao bado kufikiwa na nishati hiyo bila kuathiri mazingira.
WWF imesema uharibifu wa mazingira umechangia kwa kiasi kikukbwa mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo mafuriko na kwamba bado jitihada za ziada zinahitajika za kukabiliana na mabadiliko hayo.
Asilimia 65 ya watanzania...
11 years ago
Michuzi
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHAKIKISHA INAWEKA MIUNDOMBINU MIZURI KWA WALEMAVU.

Na John Gagarini, Kibaha.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC) imesema kuwa itahakikisha kuwa inaweka miundombinu mizuri kwa watu wenye ulemavu wakati wa uboreshaji wa zoezi la Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakalofanyika hivi karibuni.
Kutokana na umuhimu wa zoezi hilo Tume imejipanga kuhakikisha kila kundi ndani ya jamii ikiwemo ile ya walemavu wanashiriki kikamilifu zoezi hilo ambalo litaambatana na utoaji wa vitambulisho vipya vya wapiga kura vitakavyotumika kwenye wakati...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Makengeza: Tatizo la ubongo lenye tiba ila jamii inapuuzia
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Utekelezaji duni wa mikakati wakwaza ukuaji uchumi
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA MBEYA ATAKA TAIFA LENYE VIONGOZI WALIOBOBEA KWENYE SAYANSI
5 years ago
Michuzi
MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.
