Makengeza: Tatizo la ubongo lenye tiba ila jamii inapuuzia
Makengeza ni tatizo la kiafya linalowapata watu wa rika zote yaani watoto, vijana na watu wazima. Inakadiriwa kuwa kati ya asilimia 4 na 6 ya watoto wote wanaozaliwa, huwa na tatizo la makengeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Matumaini ya tiba ya ubongo!
Wataalam wa utafiti na wagonjwa wanasubiri kwa hamu matokeo ya utafiti wa tiba inayoweza kutibu maradhi ya ubongo (Alzheimer)
11 years ago
Mwananchi01 May
Tanzania: Taifa lenye mikakati mizuri, tatizo ni utekelezaji
Kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikianzisha mipango, sera, miradi na mikakati mbalimbali ya kilimo kwa lengo kuinua uchumi wa Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXRoql34z*fHJLwb0-yyMU3C06CGcBhqeWTscSG4GSf2UWdxj2U26AeQmRaPwYIw*n3F37ajtZyzZuNBznAMRIm4/770.jpg?width=650)
UBONGO WA KAJALA WAPATA TATIZO
Imelda mtema Maskini Kajala! Ndivyo unavyoweza kusema ukisikia mkasa wa staa wa kiwango cha juu kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’, ambaye anadaiwa kwa hivi sasa hayuko sawa kiafya baada ya kupigwa chupa kichwani akiwa katika shoo ya kumchangia mke wa msanii Mabeste iliyofanyika New Maisha Club, Masaki jijini Dar. Kajala Masanja akionekana na jeraha usoni kipindi ambacho alikua amepigwa chupa....
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Tendo la ndoa; Tiba mbadala ya maradhi ya moyo, ubongo, maumivu ya kichwa?
>Ingawa tendo la ndoa lisipofanywa kwa kuzingatia kanuni na taratibu, sambamba na umakini, linaweza kusababisha maradhi, lakini kwa wanandoa, tendo hilo linatajwa kuwa na manufaa mengi kiafya tofauti na faraja ya kawaida iliyozoeleka kwa wengi.
10 years ago
Bongo515 Apr
Christian Bella asema Belle 9 ni mkali ila ‘tatizo ni nyota tu’
Mwanamuzi wa bendi ya Malaika, Christian Bella anaamini kuwa Belle 9 ni msanii mwenyezi uwezo mkubwa ila tatizo hana tu nyota ya kung’aa. Hivi karibuni Bella alikuwa kwenye kipindi cha ‘Mboni Show’ ambako alisema Belle amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake. “Sielewi kwanini rafiki yangu Belle 9 […]
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono
Moja ya vitendo vya mwili ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu kujizuia ni kutetemeka. Wataalamu wanabainisha kuwa, kuna baadhi ya aina za kutetemeka zinazowapata watu ambao wana afya njema na aina zingine hutokea kama athari hasi za matumizi ya dawa aina fulani. Lakini kwa sehemu kubwa, kutetemeka kwa baadhi ya viungo vya mwili, ni moja ya dalili za baadhi ya magonjwa yanayoshambulia mfumo wa fahamu.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo
Stakabadhi ghalani siyo neno geni masikioni mwa Watanzania hasa, wanaoishi katika mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Singida, Kilimanjaro na Morogoro.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania