Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makengeza: Tatizo la ubongo lenye tiba ila jamii inapuuzia

Makengeza ni tatizo la kiafya linalowapata watu wa rika zote yaani watoto, vijana na watu wazima. Inakadiriwa kuwa kati ya asilimia 4 na 6 ya watoto wote wanaozaliwa, huwa na tatizo la makengeza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)

Picha ya pamoja Waziri wa Afya Seif Rashid (wa sita kulia) na wakiongozwa na Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Huduma ya Bunge ,Kuduma ya Jamii Gregory Teu (wa nne kulia) na  Kaimu  Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  Dk,  Othman  Kiloloma (wa tatu kushoto) na wengine ni wajumbe wa kamati hiyo ya  wabunge.Waziri wa Afya Seif Rashid (kusho) akitia Saini katika Kitabu cha wageni mara kamati ya Kudumu ya Bunge , Huduma za Jamii ilipo tembelea ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya tiba ya ubongo!

Wataalam wa utafiti na wagonjwa wanasubiri kwa hamu matokeo ya utafiti wa tiba inayoweza kutibu maradhi ya ubongo (Alzheimer)

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania: Taifa lenye mikakati mizuri, tatizo ni utekelezaji

Kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikianzisha mipango, sera, miradi na mikakati mbalimbali ya kilimo kwa lengo kuinua uchumi wa Tanzania.

 

10 years ago

GPL

UBONGO WA KAJALA WAPATA TATIZO

Imelda mtema Maskini Kajala! Ndivyo unavyoweza kusema ukisikia mkasa wa staa wa kiwango cha juu kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’, ambaye anadaiwa kwa hivi sasa hayuko sawa kiafya baada ya kupigwa chupa kichwani akiwa katika shoo ya kumchangia mke wa msanii Mabeste iliyofanyika New Maisha Club, Masaki jijini Dar. Kajala Masanja akionekana na jeraha usoni kipindi ambacho alikua amepigwa chupa....

 

11 years ago

Mwananchi

Tendo la ndoa; Tiba mbadala ya maradhi ya moyo, ubongo, maumivu ya kichwa?

>Ingawa tendo la ndoa lisipofanywa kwa kuzingatia kanuni na taratibu, sambamba na umakini, linaweza kusababisha maradhi, lakini kwa wanandoa, tendo  hilo linatajwa kuwa na manufaa mengi  kiafya tofauti na faraja ya kawaida iliyozoeleka kwa wengi.

 

10 years ago

Bongo5

Christian Bella asema Belle 9 ni mkali ila ‘tatizo ni nyota tu’

Mwanamuzi wa bendi ya Malaika, Christian Bella anaamini kuwa Belle 9 ni msanii mwenyezi uwezo mkubwa ila tatizo hana tu nyota ya kung’aa. Hivi karibuni Bella alikuwa kwenye kipindi cha ‘Mboni Show’ ambako alisema Belle amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake. “Sielewi kwanini rafiki yangu Belle 9 […]

 

9 years ago

Mwananchi

Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono

Moja ya vitendo vya mwili ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu kujizuia ni kutetemeka. Wataalamu wanabainisha kuwa, kuna baadhi ya aina za kutetemeka zinazowapata watu ambao wana afya njema na aina zingine hutokea kama athari hasi za matumizi ya dawa aina fulani. Lakini kwa sehemu kubwa, kutetemeka kwa baadhi ya viungo vya mwili, ni moja ya dalili za baadhi ya magonjwa yanayoshambulia mfumo wa fahamu.

 

10 years ago

Mwananchi

STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo

Stakabadhi ghalani siyo neno geni masikioni mwa Watanzania hasa, wanaoishi katika mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Singida, Kilimanjaro na Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani