Sera madhubuti kuiondoa nchi katika umasikini
SERIKALI imetakiwa kutunga sera madhubuti za matumizi ya rasilimali ili kuondokana na tatizo la umasikini kwa lengo la kuinua uchumi wa nchi ili kufikia maendeleo ya milenia kama ilivyopangwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV10 Feb
Tanzania yahitaji sera, mikakati madhubuti katika kukabili tatizo la umeme.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Shirika la Utunzaji wa Mazingira Duniani WWF limesema kuna haja kwa Tanzania kuwa na sera na mikakati ya kufikisha nishati ya umeme kwa asilimia 35 ya watanzania ambao bado kufikiwa na nishati hiyo bila kuathiri mazingira.
WWF imesema uharibifu wa mazingira umechangia kwa kiasi kikukbwa mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo mafuriko na kwamba bado jitihada za ziada zinahitajika za kukabiliana na mabadiliko hayo.
Asilimia 65 ya watanzania...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?
![](http://api.ning.com/files/4YilfwQJfCsmQvIlIFx5OUAnQ3wzo1oArM7WqN9FHalt3GxKKRDo9kEQ5hzcCRrEu9xcbs0XUZueJHrrA6x-uydcmq6qH7ll/RUSHWAPICHANA1.jpg?width=650)
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.
Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Sera madhubuti ya gesi kuinyayua Tanzania
Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa (kushoto) akielekea kukwea pipa kuelekea nchini Ghana kwenye ziara ya mafunzo ya wiki mbili.
Na Marco Mipawa, Accra- Ghana
Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza katika maendeleo ya uchumi iwapo itaweka sera madhubuti za uzalishaji wa Gesi na kuwa na viongozi wenye dhamira dhabiti ya kuiendeleza nchi na kuboresha maisha ya watu.
Haya yamebainishwa na Meneja wa Redio Kahama FM Marco Mipawa leo wakati akiendelea na ziara ya mafunzo nchini Ghana...
10 years ago
GPL![](https://dub123.mail.live.com/Handlers/ImageProxy.mvc?bicild=&canary=hc29iaFoUs7ntYn4h1jkUT1XxdzegWvps3z6qTVfdGA%3d0&url=http%3a%2f%2fdewjiblog.com%2fwp-content%2fuploads%2f2014%2f12%2fMipawa-to-Ghana.jpg&width=650)
SERA MADHUBUTI YA GESI KUINYAYUA TANZANIA
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini
10 years ago
Vijimambo30 Sep
JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thecitizen.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2460580%2FhighRes%2F834518%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2Fq63f98z%2F-%2FJK%2BPX.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA KUPOKEA MAONI YA WADAU KUHUSU SERA YA TAIFA YA JESHI LA MAGEREZA KATIKA HOTELI YA LIVINGSTONE - BAGAMOYO
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
TBL, ACE-Africa, zinavyowaondoa wakazi wa Arusha katika umasikini
WANANCHI wilayani Arumeru, Jimbo la Arumeru Magharibi Mkoani Arusha hivi sasa ni kati ya watu wanaojivunia mafanikio makubwa ya ujasiriamali waliyopata kupitia uwezeshwaji uliofanywa na kampuni ya bia Tanzania (TBL)...