Tuzo za mabondia sasa Jan. 25
ZILE tuzo za mabondia na waandishi wa habari waliofanya vema mwaka 2013 sasa zinatarajiwa kutolewa jijini Dar es Salaam, Januari 25. Awali tuzo hizo zilikuwa zitolewe Desemba 28 mwaka jana,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Jan
Hawa ndio washindi wa tuzo za ‘The Headies 2015’ za Nigeria zilizotolewa Jan 1, 2016
![Headies-2015](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Headies-2015-300x194.jpg)
Tuzo za The Headies za nchini Nigeria zilizokuwa zitolewe December 30, 2015 zilisogezwa na kutolewa January 1, 2016 jijini Lagos.
Katika tuzo hizo kulikuwa na kipengele kimoja kwaajili ya wasanii wa nje ya Nigeria, ‘African Artist’ ambapo Diamond Platnumz alikuwa akiwania na Cassper Nyovest, AKA na Uhuru wa Afrika Kusini, pamoja na Sarkodie wa Ghana. Hata hivyo matokeo ya kipengele hicho hayajawekwa.
Ifuatayo ni orodha ya washindi wa tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya kumi:
Headies...
11 years ago
MichuziMABONDIA ALIBABA NA ROY MBUNDA WAFANYIWA VIPIMO SASA KUPAMBANA JIONI YA LEO YMCA MOSHI
10 years ago
Bongo Movies06 Jul
Kumekucha Tena Tuzo Kubwa za Nyuka Zipo Tayari Sasa!
TUZO kubwa zijulikanazo kwa jina la NYUKA FILM AWARDS zipo tayari kwa ajili ya kutolewa kwa wanatasnia ya filamu Swahilihood hivi karibuni mwezi huu wa saba mwisho, ni tuzo zilizolenga kutambua mchango wa filamu zinazotumia Lugha ya Kiswahili katika kukitangaza na kuunganisha mataifa.
Filamu iliyorekodiwa na kutumia Lugha ya Kiswahili inahusika kushirika na kuchukua tuzo zilizoandaliwa zaidi ya miaka mitatu kuanzia kufanya utafiti katika kujenga tuzo zenye hadhi na heshima Barani Afrika,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MgTz02rO3G9mdzIiYwfLhMNwFUUHH1Ef4viToseWb6NHoXcJUIv-2W4iI43HVPqf80K5sNnrXFjB0ifroy0Guyx/mond.gif?width=650)
DIAMOND AFUNIKA CHANNEL O, SASA KUPELEKA TUZO ZAKE 3 DAR LIVE
10 years ago
Bongo Movies09 May
Sasa ni Zamu ya Waigizaji Bora wa Kiume Piga Kura Yako Tuzo za Tafa
Mchakato unaendelea kwa kuwapigia kura waliopendekezwa kuwania tuzo za filamu Tanzania sasa ni zamu ya waigizaji bora wa kiume kwa mwaka 2015, kila mshindani anaonyesha shauku ya kutaka kuibuka mshindi wa tuzo za filamu Tanzania wote ni wakali mchangue anayemzidi mwezake.
Katika kundi hili unakutana wasanii kama Lumole Matovolwa, Jacob Stephen ‘JB’, Salim Ahmed ‘Gabo’, Omary clayton, Bicco Mathew, Brian Ibrick na Kulwa Kikumba ‘Dude’ ni mpambano wa kukata na shoka .
Piga kura kwa kufuata...
10 years ago
GPLTASWIRA ZAIDI ZA MKALI WA BONGO FLEVA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOPOKELEWA BONGO, SASA KUPELEKA TUZO DAR LIVE
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
PHD kuizindua ‘The One’ Jan. 8
STAA wa filamu na muziki wa Bongo Flava, Hemed Suleiman ‘PHD’, anatarajiwa kufanya uzinduzi wa kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘The One’, katika ukumbi wa Maisha Club jijini...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10