MABONDIA ALIBABA NA ROY MBUNDA WAFANYIWA VIPIMO SASA KUPAMBANA JIONI YA LEO YMCA MOSHI
Bondia Roy Mbunda wa Ruvuma akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi.
Bondia Alibaba Ramadhani wa Kilimanjaro akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi.
Mwenyekiti wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro Eliakunda Kipoko akizungumza na mabondia (hawapo pichani)mara baada ya kufanyiwa vipimo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMABONDIA WA TANZANIA ,SAIDI YAZIDU NA ALIBABA RAMADHAN KUKIPIGA JIONI YA LEO NA MU-ALJERIA NA M-MALAWI KATIKA UKUMBI WA YMCA -MOSHI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziBONDIA ALIBABA RAMADHAN WA KILIMANJARO ALIVYOMTWANGA ROY MBUNDA WA RUVUMA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Alibaba amkalisha Mbunda kwa KO
BONDIA Alibaba Ramadhani wa mkoani Kilimanjaro, ameendelea kuupa sifa mkoa huo katika medani ya ngumi, baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa taifa, uzito wa kati kilo 76, baada ya kumpiga...
10 years ago
MichuziDALADALA YAPARAMIA KIPITA SHOTO CHA YMCA,MJINI MOSHI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Enig14ekQBc/VEqMzsIFbiI/AAAAAAAGtNY/taBu0P2dxeg/s72-c/IMG-20141024-WA0012.jpg)
kibaka achezea kochapo cha nguvu mjini Moshi jioni ya leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-Enig14ekQBc/VEqMzsIFbiI/AAAAAAAGtNY/taBu0P2dxeg/s1600/IMG-20141024-WA0012.jpg)
Tukio hilo limetokea jioni hii katika duka la mchele la Lucki rice mart lilipo double road katikati ya mji wa Mokijana mmoja mkazi wa Pasua ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kufa baada ya kupokea kipigo kutoka...
11 years ago
Michuzi14 May
MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo
MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kaseba, Alibaba kupima uzito leo
MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...