Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MABONDIA ALIBABA NA ROY MBUNDA WAFANYIWA VIPIMO SASA KUPAMBANA JIONI YA LEO YMCA MOSHI

Bondia Roy Mbunda wa Ruvuma akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi. Bondia Alibaba Ramadhani wa Kilimanjaro akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi. Mwenyekiti wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro Eliakunda Kipoko akizungumza na mabondia (hawapo pichani)mara baada ya kufanyiwa vipimo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MABONDIA WA TANZANIA ,SAIDI YAZIDU NA ALIBABA RAMADHAN KUKIPIGA JIONI YA LEO NA MU-ALJERIA NA M-MALAWI KATIKA UKUMBI WA YMCA -MOSHI

Bondia toka Aljeria,Djamel Dahou akionesha mikanda anayoshikilia,muda mchache kabla ya kupima uzito .Bondia Said Yazidu wa Tanzania (aliyenyanyua mikono) na kulia kwake ni bondia Alibaba Ramadhan wakiajiandaa na zoezi la upimaji uzito.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Michuzi

BONDIA ALIBABA RAMADHAN WA KILIMANJARO ALIVYOMTWANGA ROY MBUNDA WA RUVUMA


Bondia Alibaba Ramadhan akiwa na mkanada wake wa Ubingwa baada ya kumtwanga Bondia Roy Mbuta kwa KO katika mchezo uliopiga jana.Pichani ni Bondia Alibaba akipata picha ya kumbukumbu na mgeni rasmi pamoja na wadhamini. Akapongezwa Alibaba kwa ushindi na sifa aliyoupatia mkoa wa Kilimanjaro.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alibaba amkalisha Mbunda kwa KO

BONDIA Alibaba Ramadhani wa mkoani Kilimanjaro, ameendelea kuupa sifa mkoa huo katika medani ya ngumi, baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa taifa, uzito wa kati kilo 76, baada ya kumpiga...

 

10 years ago

Michuzi

DALADALA YAPARAMIA KIPITA SHOTO CHA YMCA,MJINI MOSHI LEO

Gari aina ya Toyota Hiace linalofanya safari yake kati ya KCMC na katikati ya mji wa Moshi likiwa katika bustani ya mzunguko wa YMCA baada ya kupitiliza toka barabarani. Sehemu ya uharibifu uliofanyika baada ya gari hilo kufeli breki na kunyoosha moja kwa moja na kugonga kingo za keep left ya YMCA.Askari wa Kikosi cha usalama barabarani wakijaribu kuangalia maeneo yaliyoaharibika baada ya gari hilo kupita katika kipita shoto hicho.Fundi mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja...

 

10 years ago

Michuzi

kibaka achezea kochapo cha nguvu mjini Moshi jioni ya leo

kijana mmoja mkazi wa Pasua mjini Moshi ambaye jina lake halikufahamika mara moja amenusurika kufa baada ya kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa wanachi wenye hasira kali,baada ya kuiba simu katika duka moja la mchele na kumpa mwenzake aliyefanikiwa kukimbia nayo. 
Tukio hilo limetokea jioni hii katika duka la mchele la Lucki rice mart lilipo double road katikati ya mji wa Mokijana mmoja mkazi wa Pasua ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kufa baada ya kupokea kipigo kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO ifikapo Mei  24 mwaka huu  katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam. katikati ni katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST Anthony Rutta. Picha na Duper D

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kupima uzito leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani