Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kupima uzito leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba amkalisha Alibaba kwa ‘KO’

BONDIA Japhet Kaseba, juzi alifanikiwa kutetea mkanda wa ubingwa wa taifa baada ya kumchapa bingwa wa Kanda ya Kaskazini, Alibaba Ramadhan kwa ‘KO’, raundi ya nne. Kaseba alianza mchezo huo...

 

11 years ago

GPL

KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K.O RAUNDI YA 4

Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es Salaam. Kaseba alishinda kwa K.O ya raundi ya nne ya mpambano huo.
Kanda Kabongo akimhudumia bondia Japhet Kaseba.…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 MASHALI, MAUGO KUMALIZA UBISHI AGOSTI

Mabondia Mada Maugo na Thomas Mashali ‘Simba Asiyefugika’, wakitunishiana misuli. Na Nassor Gallu SIKU zinazidi kukatika huku maandalizi yakipamba moto kuelekea katika tamasha babkubwa linalojulikana kama Usiku wa Matumaini 2014 (Night of Hope) linalotarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, mwaka huu. Katika tamasha… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwisho wa ubishi leo

Mtoto hatumwi dukani leo wakati vigogo wawili wa soka nchini Azam na Yanga watakaposhuka kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar kusaka pointi tatu muhimu ikiwa ni mfululizo wa mechi za Kombe la Mapinduzi.

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA ALIBABA NA ROY MBUNDA WAFANYIWA VIPIMO SASA KUPAMBANA JIONI YA LEO YMCA MOSHI

Bondia Roy Mbunda wa Ruvuma akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi. Bondia Alibaba Ramadhani wa Kilimanjaro akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi. Mwenyekiti wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro Eliakunda Kipoko akizungumza na mabondia (hawapo pichani)mara baada ya kufanyiwa vipimo.

 

10 years ago

Michuzi

MABONDIA WA TANZANIA ,SAIDI YAZIDU NA ALIBABA RAMADHAN KUKIPIGA JIONI YA LEO NA MU-ALJERIA NA M-MALAWI KATIKA UKUMBI WA YMCA -MOSHI

Bondia toka Aljeria,Djamel Dahou akionesha mikanda anayoshikilia,muda mchache kabla ya kupima uzito .Bondia Said Yazidu wa Tanzania (aliyenyanyua mikono) na kulia kwake ni bondia Alibaba Ramadhan wakiajiandaa na zoezi la upimaji uzito.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani