Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwisho wa ubishi leo

Mtoto hatumwi dukani leo wakati vigogo wawili wa soka nchini Azam na Yanga watakaposhuka kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar kusaka pointi tatu muhimu ikiwa ni mfululizo wa mechi za Kombe la Mapinduzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UCHAGUZI 2015: MAGUFULI, LOWASSA MWISHO WA UBISHI!

Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mwandishi Wetu Hatimaye zile mbio za Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 zilizoanza Agosti 23, mwaka huu, leo zinafikia tamati ambapo wagombea wawili wenye msisimko wa aina yake, Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Ngoyai Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanafunga kazi katika Majiji ya Mwanza na Dar. MAGUFULI MWANZA Baada ya… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwisho Vichwa 33 leo

Kisu kikali cha Kamati Kuu ya CCM (CC) leo kitaondoka na vichwa 33 kati ya 38 vya walioomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kumrithi Rais Jakaya Kikwete anayemaliza ngwe yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwisho wa Zitto CHADEMA leo?

HATIMA ya safari ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe huenda ikaanza kuonekana leo pale Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi katika...

 

10 years ago

Habarileo

Bajeti ya mwisho ya Kikwete leo

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.LEO ni siku ya Bajeti Kuu. Masikio ya Watanzania yataelekezwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano mjini Dodoma wakati Serikali itakapowasilisha Bajeti Kuu ya mwaka 2015/16.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fomu CHADEMA mwisho leo

IKIWA leo zoezi la kuchukua na kurejesha fomu za kugombea nafasi za juu za taifa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wagombea wa nafasi za mabaraza na chama hicho...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga: Tutashambulia mwanzo mwisho leo

Alexandria, Misri. Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amesema mbinu pekee ya kujilinda katika mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Ahly ni kushambulia tu.

 

9 years ago

BBCSwahili

ICTR kutoa hukumu ya mwisho leo

Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) iliyokuwa ikishughulikia kesi za mauaji yaliyotokea miaka 20 iliyopita leo itatoa hukumu yake ya mwisho kabla ya kufungwa kabisa.

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA GURUMO DUNIANI LEO

Makamu wa Rais Dk Mohamed Bilal akiwasili nyumbani kwa marehemu Muhidini Gurumo, Makubuli, Ubung, Dar leo asubuhi. Makamu wa Rais, Dk Bilal (Mwenye suti) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana wakiwa msibani leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani