Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti ya mwisho ya Kikwete leo

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.LEO ni siku ya Bajeti Kuu. Masikio ya Watanzania yataelekezwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano mjini Dodoma wakati Serikali itakapowasilisha Bajeti Kuu ya mwaka 2015/16.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bajeti ya mwisho ya Rais Kikwete

 Waziri wa Fedha, Saada Mkuya SalumSERIKALI imewasilisha mwelekeo wa bajeti kwa Kamati ya Bunge, ambayo inalenga zaidi kupeleka umeme na huduma za maji vijijini, kumalizia miradi ambayo haijakamilika na kutenga fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao.

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete atoa heshima za mwisho kwa mwili wa Balozi wa Malawi Dar Es Salaam leo

JK

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Marehemu Flossy Gomile-Chidyaonga leo katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

unnamed (65)

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa  heshima za mwisho kwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Marehemu Flossy Gomile-Chidyaonga leo katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEMU DKT WILLIAM SHIJA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Dkt William Shija alipoongoza shughuli za kuaga leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaamRais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole Mama Getrude Shija, Mjane wa  Marehemu Dkt William Shija alipoongoza shughuli za kuaga leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaamRais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi kitabu cha maombolezo cha msiba wa  Marehemu...

 

9 years ago

CCM Blog

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG, AHUTUBIA LEO MKUTANO WA MWISHO


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo Dec 5, 2015. Picha na OMR
 
Makamu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete kuiweka sawa bajeti

Rais Jakaya Kikwete juzi alitua mjini Dodoma na kukutana na viongozi wa juu wa Serikali akiwamo Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Baraza la Mawaziri, huku taarifa zikieleza kuwa ujio wake ni kwa ajili ya kuweka mambo sawa kuhusu Bajeti ya Serikali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nitakuwa wa mwisho kumpinga Rais Kikwete

JUZI Rais Jakaya Kikwete alitoa hotuba ya kuzindua Bunge iliyonikuna sana, hotuba yake ilijaa majibu ‘mujarab’ kwa hotuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba....

 

9 years ago

Michuzi

Bajeti za nchi zizingatie ustawi wa wanawake: Kikwete


Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania akihojiwa na Joseph Msami wa Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:UN-Idhaa ya Kiswahili/Assumpta Massoi)Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amesema wanawake hawajengewi mazingira ya kutosha ya ustawi wa kijamii na  kiuchumi kama ilivyo wanaume hususani katika nchi zinazoendelea akitolea mfano wa bajeti za serikali ambazo hazizingatii ukuaji nwa kundi hilo. Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhutubia mjadala kuhusu kupambana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Katiba mwamuzi wa mwisho, asema Kikwete

>Rais Jakaya Kikwete, amesema Bunge la Katiba ndilo litakalotoa uamuzi wa mwisho kuhusu  Katiba Mpya kabla ya kupigiwa kura ya maoni na wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Leo ni Bajeti Kuu

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, leo anatarajia kusoma Bajeti Kuu ya Serikali. Bajeti hiyo ambayo ni ya kwanza kwa Waziri Mkuya, inasomwa baada ya mawaziri wote kumaliza kusoma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani