Bunge Katiba mwamuzi wa mwisho, asema Kikwete
>Rais Jakaya Kikwete, amesema Bunge la Katiba ndilo litakalotoa uamuzi wa mwisho kuhusu  Katiba Mpya kabla ya kupigiwa kura ya maoni na wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Wiki ya mwisho Bunge la Katiba
WIKI hii ni ya mwisho kwa Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na mjadala wake wa kuwaletea Watanzania Katiba mpya. Bunge hilo linaingia wiki ya mwisho wakati Watanzania wengi wamekatishwa tamaa...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Bunge la Katiba 'litaendelea bila Ukawa,' asema Sitta huku kanuni zikirekebishwa [VIDEO]
Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikianza tena mjini Dodoma bila ya kuwepo kwa Ukawa, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema Bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Kikwete: Hatima Bunge la Katiba Jumatatu
Rais Jakaya Kikwete amesema mkutano wake na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) utakaofanyika Jumatatu Septemba 8, mwaka huu ndiyo utakaotoa mwelekeo wa namna ya kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Mwananchi26 Mar
‘Bunge la Katiba livunjwe, Kikwete amemaliza kazi’
>Siasa ni kama mchezo ambao kanuni zake zinaweza kuitofautisha na soka; mchezo ambao hauhitaji waamuzi watatu uwanjani ili uchezeshwa kwa haki.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMku8UlNsqnI4pzrzhU0rQMZio9Kl7GwjvJnOcT3sirPLmU5rTxJcuDNYVAiLcmQBYF39qxxkzi3NCfOKZxNWtaL/BREAKINGNEWS.gif)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Rais Jakaya Kikwete. Rais Kikwete ameanza kulihutubia Bunge Maalum la Katiba kutokana na mwaliko wa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Mheshimiwa Samuel…
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Ushauri wa #Kikwete kwa wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]
Rais Jakaya Kikwete amewataka wajumbe kufanya kazi ilowapeleka Dodoma, kwa kuhakiki na kuichambua kwa kina Rasimu ya Pili iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mnamo Jumanne.
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Kikwete: Wajumbe Bunge la Katiba kutangazwa leo, kesho
>Rais Jakaya Kikwete amesema uteuzi wa majina 201 ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba umekamilika na kati ya leo na kesho, atayatangaza pamoja na tarehe ya kuanza kwa Bunge hilo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hvy3wHuA6qJo6JlK0cm7ED4QudaA6XjaqIWbrHYXNWq7s0EMtVZHVUnaZiggkyYTIICyzrL303mZxoyQQdjioH/unnamed.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KUUNGURUMA KESHO BUNGE MAALUM LA KATIBA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Kweli Urais hauna ubia wala muda ama sehemu ya kuchapa kazi. Wakati wowote na mahali popote ni sehemu ya kazi, kama inavyoonekana hapa ambako Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametulia ndani ya ndege akisafiri kutoka Dar es salaam kuelekea Dodoma huku akiifanyia kazi hotuba yake ambayo ataitoa katika...
11 years ago
GPL21 Mar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania