Wiki ya mwisho Bunge la Katiba
WIKI hii ni ya mwisho kwa Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na mjadala wake wa kuwaletea Watanzania Katiba mpya. Bunge hilo linaingia wiki ya mwisho wakati Watanzania wengi wamekatishwa tamaa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Bunge Katiba mwamuzi wa mwisho, asema Kikwete
11 years ago
Mtanzania29 Sep
Wiki ngumu Bunge Maalum la Katiba

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Maregesi Paul, Dodoma
WIKI hii ni kati ya wiki ngumu zilizowahi kulikumba Bunge Maalum la Katiba lililoanza mwanzoni mwa Agosti mwaka huu.
Wakati Bunge linaanza mwanzoni mwa mwaka huu, wajumbe walitumia muda mwingi kujadili sura ya kwanza na ya sita inayohusu muundo wa Serikali na pia walivutana wakati walipokuwa wakijadili kanuni za 37 na 38 za Bunge hilo zinazohusu upigaji kura ya siri au ya...
11 years ago
Habarileo23 Jan
Wajumbe Bunge Katiba wiki ijayo
MAANDALIZI ya Bunge Maalumu la Katiba, yamefikia hatua nzuri zaidi na wiki ijayo majina 201 ya wajumbe wa nyongeza wa Bunge hilo, yatatangazwa katika Gazeti la Serikali ili kukamilisha wajumbe 604.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Wiki ngumu Bunge la Katiba yaanza leo
11 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Michuzi
UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano



11 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
TASWIRA KATIKA SIKU YA MWISHO YA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM LEO

