Leo ni Bajeti Kuu
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, leo anatarajia kusoma Bajeti Kuu ya Serikali. Bajeti hiyo ambayo ni ya kwanza kwa Waziri Mkuya, inasomwa baada ya mawaziri wote kumaliza kusoma...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Apr
Dira Bajeti ya Serikali Kuu kujulikana leo
DIRA ya Bajeti ya mwaka ujao wa fedha, itajulikana leo baada ya Wabunge kukutana na Serikali kwa lengo la kueleza mipango na vipaumbele vya nchi, vitakavyotekelezwa kupitia bajeti hiyo.
11 years ago
CloudsFM12 Jun
BAJETI KUU YA SERIKALI KUSOMWA LEO BUNGENI DODOMA
Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.
Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.
Vipaumbele vya Bajeti hiyo, kwa maana ya miradi itakayozingatiwa zaidi, ni iliyo katika...
11 years ago
Mwananchi25 May
Bajeti Kuu hatihati
11 years ago
Habarileo09 Jun
Wiki ya Bajeti Kuu ya matrilioni
BUNGE linaendelea na mkutano wake wa 15 mjini Dodoma leo, huku shughuli kubwa wiki hii ikiwa ni kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali ya matrilioni ya shilingi. Bajeti hiyo ni ya mwaka wa fedha 2014/15. Pia, wiki hii kutafanyika uchaguzi wa wawakilishi wa Bunge katika taasisi mbalimbali.
11 years ago
Habarileo06 Jun
Bajeti Kuu ya Serikali yasukwa
KAMATI ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano, leo ilianza vikao vya siku sita na Serikali ili kutayarisha Bajeti Kuu ya Serikali, ambayo itasomwa Juni 12, mwaka huu na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya.
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Bajeti Kuu yapita gizani, Mkuya atema cheche
5 years ago
CCM BlogBAJETI KUU YA SERIKALI 2020-2021 ILIVYOSOMWA BUNGENI DODOMA
Muda huu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Philip Mpango anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/2020, Bonyeza PLAY hapa chini kutazama LIVE.
5 years ago
CCM BlogKIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Makamu Mwenyekiti wa CCM,Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akikaribishwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally alipowasili kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini...
11 years ago
GPLBAJETI KUU YA SERIKALI: TAKRIBANI SH. TRIL. 19. 7 ZATARAJIWA KUTUMIKA MWAKA 2014/2015