Wiki ya Bajeti Kuu ya matrilioni
BUNGE linaendelea na mkutano wake wa 15 mjini Dodoma leo, huku shughuli kubwa wiki hii ikiwa ni kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali ya matrilioni ya shilingi. Bajeti hiyo ni ya mwaka wa fedha 2014/15. Pia, wiki hii kutafanyika uchaguzi wa wawakilishi wa Bunge katika taasisi mbalimbali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jun
Wizara kufunga bajeti wiki hii
MAKADIRIO ya Mapato na Matumizi ya Wizara mbalimbali za Serikali yanatarajiwa kuhitimishwa wiki hii wakati wizara sita nyeti zitakapokamilisha uwasilishaji wa bajeti hizo kwa mwaka wa fedha 2015/16.
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
UJAUZITO WIKI YA 13: Anza kupanga bajeti ya mtoto
KATIKA makala iliyopita tuliona kuwa wiki ya 12 ya ujauzito ni muhimu sana kwa sababu ndicho kipindi ambacho mama ataanza kuhisi mitikisiko ya mtoto aliye tumboni. Wakati huu misuli ya...
11 years ago
Mwananchi25 May
Bajeti Kuu hatihati
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Leo ni Bajeti Kuu
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, leo anatarajia kusoma Bajeti Kuu ya Serikali. Bajeti hiyo ambayo ni ya kwanza kwa Waziri Mkuya, inasomwa baada ya mawaziri wote kumaliza kusoma...
11 years ago
Habarileo06 Jun
Bajeti Kuu ya Serikali yasukwa
KAMATI ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano, leo ilianza vikao vya siku sita na Serikali ili kutayarisha Bajeti Kuu ya Serikali, ambayo itasomwa Juni 12, mwaka huu na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya.
10 years ago
Habarileo29 Apr
Dira Bajeti ya Serikali Kuu kujulikana leo
DIRA ya Bajeti ya mwaka ujao wa fedha, itajulikana leo baada ya Wabunge kukutana na Serikali kwa lengo la kueleza mipango na vipaumbele vya nchi, vitakavyotekelezwa kupitia bajeti hiyo.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Tanesco; matrilioni kumaliza mgawo wa umeme nchini
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Bajeti Kuu yapita gizani, Mkuya atema cheche
11 years ago
CloudsFM12 Jun
BAJETI KUU YA SERIKALI KUSOMWA LEO BUNGENI DODOMA
Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.
Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.
Vipaumbele vya Bajeti hiyo, kwa maana ya miradi itakayozingatiwa zaidi, ni iliyo katika...