Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara kufunga bajeti wiki hii

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.MAKADIRIO ya Mapato na Matumizi ya Wizara mbalimbali za Serikali yanatarajiwa kuhitimishwa wiki hii wakati wizara sita nyeti zitakapokamilisha uwasilishaji wa bajeti hizo kwa mwaka wa fedha 2015/16.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli: “ Ziara yangu ya kushtukiza Wizara ya Fedha, imenisaidia kujua changamoto zinazoikabili wizara hii”

IMG_5422

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.  Servacius Likwelile alipotembelea ofisi za Wizara ya Fedha.

IMG_5434

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipata ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.  Servacius Likwelile wakati wa ziara hiyo.

IMG_5475

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli  akiongea na uongozi wa Wizara ya Fedha.

Rais wa Jamhuri wa Muungano...

 

11 years ago

Habarileo

Wiki ya Bajeti Kuu ya matrilioni

BUNGE linaendelea na mkutano wake wa 15 mjini Dodoma leo, huku shughuli kubwa wiki hii ikiwa ni kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali ya matrilioni ya shilingi. Bajeti hiyo ni ya mwaka wa fedha 2014/15. Pia, wiki hii kutafanyika uchaguzi wa wawakilishi wa Bunge katika taasisi mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

WIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII

 Waendeshaji wa Show ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwa kwa steji, tayari kwa kuendelea na show hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mkaumbusho ya Taifa Jijini Dar Es Salaam. Mshiriki Ally Kiwendo ambae alikuwa ni mmoja kati ya washindi watatu kutoka kanda ya Kusini mkoani Mtwara akitoa maneno ya shukrani kwa Kampuni ya Proin Promoitons ambao ndio waandaaji na waendeshaji wa Shindano la TMT mara baada ya kutangazwa kuaga shindano hilo kutokana na Kura kuwa chache,...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YAKE KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA

Afisa wa Jeshi la Magereza nchini, Nsajigwa Mwankenja akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil kuhusu shughuli zinazofanywa na Jeshi hilo, wakati Katibu Mkuu alipotembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati wa maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akipata maelezo kutoka kwa Maafisa wa Uhamiaji kuhusu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 13: Anza kupanga bajeti ya mtoto

KATIKA makala iliyopita tuliona kuwa wiki ya 12 ya ujauzito ni muhimu sana kwa sababu ndicho kipindi ambacho mama ataanza kuhisi mitikisiko ya mtoto aliye tumboni. Wakati huu misuli ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti za wizara zinaandaliwa kisanii

Tuliwahi kusema kupitia katika safu hii kwamba vituko vingi vinavyotokea hapa nchini ni vigumu kutokea katika nchi nyingine. Tulikuwa na maana kwamba nchi yetu ina matukio mengi ya ajabu na ya aina yake.

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti ya Wizara ya Kilimo yapita

PAMOJA na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.

 

11 years ago

Mwananchi

Waiponda Bajeti Wizara ya Afya

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imesema Serikali imeweka rehani wananchi wake kutokana na uamuzi wake wa kuchangia kiasi kidogo cha fedha za maendeleo za Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii mwaka 2014/15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani