Dira Bajeti ya Serikali Kuu kujulikana leo
DIRA ya Bajeti ya mwaka ujao wa fedha, itajulikana leo baada ya Wabunge kukutana na Serikali kwa lengo la kueleza mipango na vipaumbele vya nchi, vitakavyotekelezwa kupitia bajeti hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM12 Jun
BAJETI KUU YA SERIKALI KUSOMWA LEO BUNGENI DODOMA
Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.
Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.
Vipaumbele vya Bajeti hiyo, kwa maana ya miradi itakayozingatiwa zaidi, ni iliyo katika...
10 years ago
CloudsFM14 Jan
RIPOTI KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KUJULIKANA LEO
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akizungumza jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu Adam Kimbisa,wakati akitoka nje mara baada ya kumaliza kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM Taifa usiku huu,kilichofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja,Zanzibar,kikao hicho kilianza mnamo majira ya saa sita mchana na kumalizika usiku mnamo saa mbili na ushehe hivi huku mambo mbalimbali yakiwa yamejadiliwa...
11 years ago
Habarileo06 Jun
Bajeti Kuu ya Serikali yasukwa
KAMATI ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano, leo ilianza vikao vya siku sita na Serikali ili kutayarisha Bajeti Kuu ya Serikali, ambayo itasomwa Juni 12, mwaka huu na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Leo ni Bajeti Kuu
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, leo anatarajia kusoma Bajeti Kuu ya Serikali. Bajeti hiyo ambayo ni ya kwanza kwa Waziri Mkuya, inasomwa baada ya mawaziri wote kumaliza kusoma...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/qMRc91R7lSg/default.jpg)
BAJETI KUU YA SERIKALI 2020-2021 ILIVYOSOMWA BUNGENI DODOMA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/rf-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YHfxIj8fQLY/XuMd0MrUGGI/AAAAAAALthU/ttV3yvwWW7oDFKI5q-5eCP8GlGELcG-xgCLcBGAsYHQ/s72-c/3-14-768x512.jpg)
MATUKIO YA UWASILISHAJI WA MAPENDEKEZO BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-YHfxIj8fQLY/XuMd0MrUGGI/AAAAAAALthU/ttV3yvwWW7oDFKI5q-5eCP8GlGELcG-xgCLcBGAsYHQ/s640/3-14-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-11-1024x683.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXwj2LF-wHYRU4GLi3lFGgmTnvKpP4jirUaodxSH61Y8G*z1XhUGcQWk8hMD1oJfvpCa4gC45SOAW2FavVre0kom/02.jpg?width=650)
BAJETI KUU YA SERIKALI: TAKRIBANI SH. TRIL. 19. 7 ZATARAJIWA KUTUMIKA MWAKA 2014/2015
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s72-c/20150623064932.jpg)
LOWASSA AIPIGIA KURA YA NDIO BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s640/20150623064932.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xCzanCycTBg/VYllaXGfGDI/AAAAAAAHi2g/ktdKjUSOSl0/s640/201506264932.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s72-c/20150623064932.jpg)
Mh. Lowassa aipigia kura ya ndio bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s640/20150623064932.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xCzanCycTBg/VYllaXGfGDI/AAAAAAAHi2g/ktdKjUSOSl0/s640/201506264932.jpg)