KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K.O RAUNDI YA 4
Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es Salaam. Kaseba alishinda kwa K.O ya raundi ya nne ya mpambano huo. Kanda Kabongo akimhudumia bondia Japhet Kaseba.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Kaseba amkalisha Alibaba kwa ‘KO’
BONDIA Japhet Kaseba, juzi alifanikiwa kutetea mkanda wa ubingwa wa taifa baada ya kumchapa bingwa wa Kanda ya Kaskazini, Alibaba Ramadhan kwa ‘KO’, raundi ya nne. Kaseba alianza mchezo huo...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo
MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kaseba, Alibaba kupima uzito leo
MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Alibaba amkalisha Mbunda kwa KO
BONDIA Alibaba Ramadhani wa mkoani Kilimanjaro, ameendelea kuupa sifa mkoa huo katika medani ya ngumi, baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa taifa, uzito wa kati kilo 76, baada ya kumpiga...
10 years ago
Vijimambo29 Oct
BONDIA FADHILI MAJIHA AONESHA MAAJABU KWA KUPIGWA KWA POINT THAILAND MCHEZO WA RAUNDI 12
![](https://2.bp.blogspot.com/-cK42mR3-87E/VE_yTeQHWSI/AAAAAAAAO2M/95lLIlrnNYg/s1600/10155008_545657868900715_6021983416470434928_n.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-A4-xt1NZPT4/VE_yTR0g4PI/AAAAAAAAO2Q/1o_PvKZOEY4/s1600/10341942_545657938900708_3969098675456894504_n.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Dec
BONDIA MAOKOLA AMDUNDA MKALAKALA KWA K,O YA RAUNDI YA 7 NA KUTETEA MKANDA WAKE
10 years ago
VijimamboBONDIA FRANCIS CHEKA ALIVYO MSAMBALATISHA MTHAILAND KWA T.K.O YA RAUNDI YA NANE