Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alibaba amkalisha Mbunda kwa KO

BONDIA Alibaba Ramadhani wa mkoani Kilimanjaro, ameendelea kuupa sifa mkoa huo katika medani ya ngumi, baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa taifa, uzito wa kati kilo 76, baada ya kumpiga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba amkalisha Alibaba kwa ‘KO’

BONDIA Japhet Kaseba, juzi alifanikiwa kutetea mkanda wa ubingwa wa taifa baada ya kumchapa bingwa wa Kanda ya Kaskazini, Alibaba Ramadhan kwa ‘KO’, raundi ya nne. Kaseba alianza mchezo huo...

 

11 years ago

Michuzi

BONDIA ALIBABA RAMADHAN WA KILIMANJARO ALIVYOMTWANGA ROY MBUNDA WA RUVUMA


Bondia Alibaba Ramadhan akiwa na mkanada wake wa Ubingwa baada ya kumtwanga Bondia Roy Mbuta kwa KO katika mchezo uliopiga jana.Pichani ni Bondia Alibaba akipata picha ya kumbukumbu na mgeni rasmi pamoja na wadhamini. Akapongezwa Alibaba kwa ushindi na sifa aliyoupatia mkoa wa Kilimanjaro.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA ALIBABA NA ROY MBUNDA WAFANYIWA VIPIMO SASA KUPAMBANA JIONI YA LEO YMCA MOSHI

Bondia Roy Mbunda wa Ruvuma akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi. Bondia Alibaba Ramadhani wa Kilimanjaro akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi. Mwenyekiti wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro Eliakunda Kipoko akizungumza na mabondia (hawapo pichani)mara baada ya kufanyiwa vipimo.

 

11 years ago

GPL

KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K.O RAUNDI YA 4

Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es Salaam. Kaseba alishinda kwa K.O ya raundi ya nne ya mpambano huo.
Kanda Kabongo akimhudumia bondia Japhet Kaseba.…

 

10 years ago

Vijimambo

Alibaba invests $200m in Snapchat

Snapchat on a phone with a handSnapchat recently introduced advertising to its platform, in a bid to start generating revenue
Chinese internet giant Alibaba has invested approximately $200m (£133m) in a stake in messaging application Snapchat, the BBC understands. That values the four-year old firm at nearly $15bn (£10bn)makes it one of the world's most valuable start-ups. Snapchat allows users to send text and picture messages which disappear in 10 seconds. Snapchat says its users send 700 million snaps daily, recently...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mmiliki wa Alibaba atajirika zaidi

Mmiliki wa kampuni ya uuzaji wa bidhaa kupitia Internet Alibaba atajirika zaidi China kufuatia toleo la hisa za kampuni hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kupima uzito leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...

 

10 years ago

Michuzi

MABONDIA WA TANZANIA ,SAIDI YAZIDU NA ALIBABA RAMADHAN KUKIPIGA JIONI YA LEO NA MU-ALJERIA NA M-MALAWI KATIKA UKUMBI WA YMCA -MOSHI

Bondia toka Aljeria,Djamel Dahou akionesha mikanda anayoshikilia,muda mchache kabla ya kupima uzito .Bondia Said Yazidu wa Tanzania (aliyenyanyua mikono) na kulia kwake ni bondia Alibaba Ramadhan wakiajiandaa na zoezi la upimaji uzito.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani