Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseba amkalisha Alibaba kwa ‘KO’

BONDIA Japhet Kaseba, juzi alifanikiwa kutetea mkanda wa ubingwa wa taifa baada ya kumchapa bingwa wa Kanda ya Kaskazini, Alibaba Ramadhan kwa ‘KO’, raundi ya nne. Kaseba alianza mchezo huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Alibaba amkalisha Mbunda kwa KO

BONDIA Alibaba Ramadhani wa mkoani Kilimanjaro, ameendelea kuupa sifa mkoa huo katika medani ya ngumi, baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa taifa, uzito wa kati kilo 76, baada ya kumpiga...

 

11 years ago

GPL

KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K.O RAUNDI YA 4

Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es Salaam. Kaseba alishinda kwa K.O ya raundi ya nne ya mpambano huo.
Kanda Kabongo akimhudumia bondia Japhet Kaseba.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kupima uzito leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...

 

10 years ago

Vijimambo

Alibaba invests $200m in Snapchat

Snapchat on a phone with a handSnapchat recently introduced advertising to its platform, in a bid to start generating revenue
Chinese internet giant Alibaba has invested approximately $200m (£133m) in a stake in messaging application Snapchat, the BBC understands. That values the four-year old firm at nearly $15bn (£10bn)makes it one of the world's most valuable start-ups. Snapchat allows users to send text and picture messages which disappear in 10 seconds. Snapchat says its users send 700 million snaps daily, recently...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mmiliki wa Alibaba atajirika zaidi

Mmiliki wa kampuni ya uuzaji wa bidhaa kupitia Internet Alibaba atajirika zaidi China kufuatia toleo la hisa za kampuni hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashali amzima Kaseba

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali ‘Simba asiyefugika’, juzi alifanikiwa kutwaa ubingwa wa UBO Afrika baada ya kumshinda kwa pointi 97-93 Japhet Kaseba ‘Champion’. Licha ya Mashali kushinda...

 

11 years ago

Mwananchi

Kaseba: Bora sijapigwa KO

Baada ya kushushiwa kipigo, bondia Japhet Kaseba amesema jambo lililompa faraja ni kutopigwa kwa Knock Out (KO) na Thomas Mashali katika pambano lao la kuwania ubingwa wa UBO Afrika lililofanyika kwenye ukumbi wa PTA, Sabasaba jijini Dar es Salaam juzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani