Kenya kupambana na wafanyakazi ghushi
Serikali itaanza kuwasajili wafanyakazi wa umma kwa njia ya kielektroniki ili kukabiliana na tatizo la wafanyakazi bandia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Kero la wafanyakazi ghushi wa umma Kenya
Serikali ya Kenya imeamuru uchunguzi kufanywa baada ya majina ya wafanyakazi hewa 12,000 kupatikana kwenye orodha yake ya mishahara.
5 years ago
MichuziBARAZA LA WAFANYAKAZI NFRA WAASWA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA VITENDO
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Kilimo Bi Hilda Kinanga akisisitiza jambo wakati akimuwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya kwenye ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi lililofanyika leo tarehe 21 Mei 2020 katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha Ujenzi Mkoani Morogoro. Wengine pichani ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA Ndg Milton Lupa (Kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha...
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJIMWAGIA MAJI BARIDI KUCHANGISHA FEDHA KUPAMBANA NA UGONJWA WA FISTULA
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kenya kutumia ndege kupambana na ujangili
Kenya inajiandaa kuanzisha mradi wa kutumia ndege zisizokuwa na rubani kuimarisha ulinzi katika mbuga za wanyama, kutokana na kuongezeka kwa ujangili
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni
Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni imeibuka kidedea baada ya kuifunga Kenya mabao 5-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuullGSEgvqkBIWGieJBj2pnnh7nv2ZzpegAKRa*qxdMENAs6-J32p3BVFBeT8X5z6fmVsc-JpUEfRDwNvSJOO451r/keneyttra.jpg?width=650)
WAKUU WA SHIRIKA LA KUPAMBANA NA UFISADI NCHINI KENYA WASIMAMISHWA KAZI
Rais wa serikali ya Kenya, Uhuru Kenyatta. Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo, siku moja tu baada ya bunge kupitisha mswaada inaowalaumu kwa uzembe na utepetevu. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa msemaji wa Ikulu ya Rais Manoah Esipisu, tume ya maadili na kupambana na ufisadi, itaendelea na kazi yake licha ya kusimamishwa kwa wakuu hao wawili. Wakuu hao...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-12ezfqOVXOM/U5TXEZS_g7I/AAAAAAAAAqg/Cf-xnMDRNXU/s72-c/Tobiko-pic.jpg)
KENYA KUANZISHA KITENGO MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-12ezfqOVXOM/U5TXEZS_g7I/AAAAAAAAAqg/Cf-xnMDRNXU/s1600/Tobiko-pic.jpg)
"Kwa mtazamo wa kuongezeka kwa uhalifu wa mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Umma (ODPP) imeanzisha kitengo maalumu kusimamia mashtaka ya wahalifu wa mtandao," Tobiko...
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Fahamu taarifa ghushi ambazo zimesambaa Afrika
Fahamu baadhi ya taarifa za uwongo kuhusu virusi vya corona zinazosambaa katika nchi za Afrika.
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Wafanyakazi wa kipato cha chini Kenya kama kama Esther wahofia
Yaya kutoka Kenya Esther anayesema kuwa kazi hazipatikani kwani Wakenya wanaogopa coronavirus.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania