Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kero la wafanyakazi ghushi wa umma Kenya

Serikali ya Kenya imeamuru uchunguzi kufanywa baada ya majina ya wafanyakazi hewa 12,000 kupatikana kwenye orodha yake ya mishahara.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kupambana na wafanyakazi ghushi

Serikali itaanza kuwasajili wafanyakazi wa umma kwa njia ya kielektroniki ili kukabiliana na tatizo la wafanyakazi bandia

 

5 years ago

Michuzi

TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUANZA KUSIKILIZA KERO NA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA UMMA

Tume ya Utumishi wa Umma inapenda kuwajulisha watumishi wa umma na wananchi wote kuwa kuanzia leo tarehe 16 hadi 23 Juni 2020,  itakuwa inapokea na kusikiliza kero na malalamiko ya watumishi wa umma kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi. Hii ni katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma.
Tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona inapewa kipaumbele katika kipindi hiki. Tunatakiwa kuzingatia Miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya pamoja na maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Nchi. Aidha,  watumishi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la gharama ya Maisha Kenya

Utafiti mpya nchini Kenya umeonyesha kuwa idadi kubwa ya wakenya wanakerwa zaidi na gharama ya juu ya maisha kuliko kitu kingine chochote

 

11 years ago

Michuzi

DKT. PINDI CHANA AZINDUA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA LEO

 Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi,Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana akifungua rasmi mkutano wa Baraza Kuu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma Tanzania Bara mjini Dodoma leo. Mkurugenzi Idara ya Uendelezaji Sera - Utumishi ambaye pia ni Katibu wa Baraza Kuu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma Tanzania Bara Bw.Mathias Kabunduguru akimkaribisha Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi,Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh.Pindi Chana (hayupo pichani) kufungua...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu taarifa ghushi ambazo zimesambaa Afrika

Fahamu baadhi ya taarifa za uwongo kuhusu virusi vya corona zinazosambaa katika nchi za Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Huduma ya kuokoa watumishi wa Umma Kenya

Serikali ya Kenya imeanzisha mpango kabambe wa kutoa huduma za kuokoa kwa kutumia ndege na magari kwa watumishi wa umma nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahadhiri wa vyuo vya umma wagoma Kenya

Mafunzo katika vyuo vikuu vya umma nchini Kenya yameathirika baada ya wahadhiri wa vyuo kuanza rasmi mgomo wa kitaifa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafanyakazi wa kipato cha chini Kenya kama kama Esther wahofia

Yaya kutoka Kenya Esther anayesema kuwa kazi hazipatikani kwani Wakenya wanaogopa coronavirus.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani