Wahadhiri wa vyuo vya umma wagoma Kenya
Mafunzo katika vyuo vikuu vya umma nchini Kenya yameathirika baada ya wahadhiri wa vyuo kuanza rasmi mgomo wa kitaifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Jun
Wahadhiri Udom wagoma
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamegoma kusimamia mitihani wakishinikiza malipo ya posho za usimamizi wanazodai tangu muhula wa masomo uliopita. Mgomo wa wanataaluma hao wa Shule ya Sayansi ya Jamii katika chuo hicho, umeathiri wanafunzi zaidi ya 2,000 waliokuwa wafanye mtihani jana.
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Kikwete: Vyuo vikuu visitegemee wahadhiri ‘wazee’
Rais Jakaya Kikwete amevitaka vyuo vikuu nchini kuwaandaa vijana kuwa wahadhiri badala ya kutegemea wastaafu.
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Ruzuku ‘kiduchu’ zinaua elimu vyuo vya umma
>Taasisi mojawapo ya elimu nchini, ilipotaka kufanya ujenzi wa majengo kwa ajili ya maendeleo ya chuo hicho ambacho kinamilikiwa na serikali, ilituma mapendekezo na maombi ya ruzuku kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo ambao kimsingi kilikubaliwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s72-c/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s640/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndugu Gerald M. Kusaya anawatangazia wanachuo na wakufunzi kuwa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATI) vimefunguliwa rasmi tarehe 01 Juni, 2020 kufuatia agizo la Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli alilotoa tarehe 21 Mei, 2020.
Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Madereva wa umma wagoma Brazil
Polisi wametumia gesi ya kutoa machozi ili kuwatawanya waandamanaji katika siku ya 2 ya mgomo wa wafanyikazi wa sekta ya uchukuzi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Rahma Ngassa (Kulia), akiwaeleza wanafunzi nhawa jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na uanachama wa Mfuko huo, wakati wa maonyesho ya vyuo vya elimu ya juu yaliyoandaliwa na Tume ya vyuo vikuu (TCU), kwa kushirikiana na wizara ya elimu na mafunzo yan ufundi stadi. Maonyesho hayo ya siku tatu yamefunguliwa jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa...
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
10 years ago
GPLKONGAMANO LA WANAFUNZI WA VITIVO VYA MASOKO NA BIASHARA VYUO VIKUU VYA DAR LILIVYOFANA
Mwenyekiti wa Chama cha wanafunzi wanaosoma Kitivo cha Masoko cha Chuo Kikuu UDSM ( DUMA ) Dkt. Uliwmengu akitoa historia fupi ya Tuzo za ACHIVERS AWARDS  katika  kongamano la wanafunzi wanaaosoma Kitivo cha Masoko na Biashara lilifofanyika Jumamosi iliyopita UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA. Mkurunezi wa IPP media Dr...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania