Wahadhiri Udom wagoma
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamegoma kusimamia mitihani wakishinikiza malipo ya posho za usimamizi wanazodai tangu muhula wa masomo uliopita. Mgomo wa wanataaluma hao wa Shule ya Sayansi ya Jamii katika chuo hicho, umeathiri wanafunzi zaidi ya 2,000 waliokuwa wafanye mtihani jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Wahadhiri wa vyuo vya umma wagoma Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EhUqxubiLECmTVBkhtHJczqj1GjfvS0MvzwNAQnl22*M6cCmq8-fchNT3ZJ1S0PQL1YWhrDXj*5hzCRhtjpfG80/UDOM4.jpg?width=650)
WANAFUNZI UDOM WAGOMA WAKIDAI PESA ZAO ZA MIKOPO KWA AJILI YA KUJIKIMU
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zYE91wA1-JU/VV3uJbvoJ5I/AAAAAAAAT24/NNA388Wvggg/s72-c/UDOM4.jpg)
WANAFUNZI UDOM, DUCE WAGOMA, MADAI NI KAMA YALE YA WENZAO WA UDSM. WANADAI MIKOPO ITOLEWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-zYE91wA1-JU/VV3uJbvoJ5I/AAAAAAAAT24/NNA388Wvggg/s640/UDOM4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Xo0SpqrF7E/VUKsKXlPpMI/AAAAAAAHUao/Xu0zraAuctc/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSuXIHP3ZuQ/VUKsKVRqL_I/AAAAAAAHUas/6Tq65ZnsvSc/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Habarileo10 Dec
Wahadhiri Mzumbe wapewa motisha
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu Mzumbe wametakiwa kuendelea kufanya utafiti, ushauri wa kitaalamu na kutoa machapisho mbalimbali ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya tasnia ya elimu na taifa kwa ujumla.
10 years ago
Habarileo23 Feb
Wahadhiri 398 wasomeshwa na serikali
WAHADHARI 398 wamesomeshwa na serikali ndani ya miaka mitano ikiwa ni mkakati wa kuongeza wanataaluma hao ili idadi iendane na ongezeko la vyuo na wanafunzi.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Wahadhiri walia hali ngumu
WAHADHIRI mbalimbali wa vyuo vikuu nchini wamelalamikia hali ngumu inayowakabili kutokana na serikali kuchelewa kuwalipa mshahara wa Desemba mwaka jana. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kwa nyakati tofauti, wahadhiri hao...
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Kikwete: Vyuo vikuu visitegemee wahadhiri ‘wazee’
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gE8tQGLd5io/U4NhUyczmNI/AAAAAAAFlI0/pFbueIwXhEA/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Dkt.Shein azungumza na Wahadhiri Chuo Kikuu Cairo
![](http://1.bp.blogspot.com/-gE8tQGLd5io/U4NhUyczmNI/AAAAAAAFlI0/pFbueIwXhEA/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v8u62JlMn88/U4NhezJGzsI/AAAAAAAFlI8/Hvv1lPB-UnE/s1600/unnamed+(32).jpg)