Wahadhiri 398 wasomeshwa na serikali
WAHADHARI 398 wamesomeshwa na serikali ndani ya miaka mitano ikiwa ni mkakati wa kuongeza wanataaluma hao ili idadi iendane na ongezeko la vyuo na wanafunzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-OktYrnw_Ac8/VKayn4JUWrI/AAAAAAAAl6Q/61WF_06_YXo/s72-c/james%2Brugemalila.jpg)
JAMES RUGEMALIRA AIGEUZIA KIBAO SERIKALI AFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU KUIDAI SH.BILIONI 398 ZA ESCROW ACCOUNT
![](http://2.bp.blogspot.com/-OktYrnw_Ac8/VKayn4JUWrI/AAAAAAAAl6Q/61WF_06_YXo/s640/james%2Brugemalila.jpg)
Mmiliki wa VIP Engineering, aliyekuwa anamiliki hisa IPTL Ndugu Rugemalira amefungua kesi mahakama kuu akiidai serikali jumla ya Sh. 398 bilion zilizokuwemo/ zinazotakiwa kuwemo katika Escrow Account ya Tegete na zilizolipwa kwa kampuni ya PAP na kuleta mjafala mkubwa bungeni.
Katika madai yake, mwenye hisa hatambui malipo yote yaliyolipwa na serikali kwa kampuni ya PAP kwani kampuni hiyo haikuwa na nyaraka halali kutoka kwa msajili wa makampuni BRELA, Taxe Clearance...
11 years ago
Habarileo17 Jun
Wahadhiri Udom wagoma
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamegoma kusimamia mitihani wakishinikiza malipo ya posho za usimamizi wanazodai tangu muhula wa masomo uliopita. Mgomo wa wanataaluma hao wa Shule ya Sayansi ya Jamii katika chuo hicho, umeathiri wanafunzi zaidi ya 2,000 waliokuwa wafanye mtihani jana.
10 years ago
Habarileo10 Dec
Wahadhiri Mzumbe wapewa motisha
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu Mzumbe wametakiwa kuendelea kufanya utafiti, ushauri wa kitaalamu na kutoa machapisho mbalimbali ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya tasnia ya elimu na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Wahadhiri walia hali ngumu
WAHADHIRI mbalimbali wa vyuo vikuu nchini wamelalamikia hali ngumu inayowakabili kutokana na serikali kuchelewa kuwalipa mshahara wa Desemba mwaka jana. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kwa nyakati tofauti, wahadhiri hao...
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Wahadhiri wa vyuo vya umma wagoma Kenya
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Kikwete: Vyuo vikuu visitegemee wahadhiri ‘wazee’
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gE8tQGLd5io/U4NhUyczmNI/AAAAAAAFlI0/pFbueIwXhEA/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Dkt.Shein azungumza na Wahadhiri Chuo Kikuu Cairo
![](http://1.bp.blogspot.com/-gE8tQGLd5io/U4NhUyczmNI/AAAAAAAFlI0/pFbueIwXhEA/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v8u62JlMn88/U4NhezJGzsI/AAAAAAAFlI8/Hvv1lPB-UnE/s1600/unnamed+(32).jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Watoto wa wahadhiri wa UDSM wajumuika pamoja kwenye ‘get together’ ya nguvu
Watoto wa Chuo waliowahi kuishi chuoni hapo wakiwa kwenye picha ya pamoja hakika hii ilikuwa ni party ya nguvu.
Watoto wa chuo waliokuwa wakiishi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wakati wazazi wao wakiwa ni wahadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Ili kuweka ukaribu watoto hao wamekutana na kufanya party ya nguvu hivi karibuni katika viwanja vya UDSM hii ikiwa ni kurudisha ukaribu pamoja na kufahamiana kwa wale waliopotezana miaka kadhaa chuoni hapo.
Hakika ilikuwa ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wy00IAR6xCs/XmoxnvJyCII/AAAAAAALix0/VIVl9wfpUkU6_yofGOKluW7DbTa5NG7tQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4.jpg)
Wahadhiri 21 Wapatiwa Mafunzo ya Stadi za Kufundishia Kiswahili kwa Wageni
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wy00IAR6xCs/XmoxnvJyCII/AAAAAAALix0/VIVl9wfpUkU6_yofGOKluW7DbTa5NG7tQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akisisitiza kuwasilisha orodha ya majina ya wataalamu wa kufundisha Kiswahili kwa wageni kwa Waziri wa Mambo ya nje kwa lengo la kusambazwa katika balozi mbalimbali Tanzania nje ya nchi leo Jijini Dodoma alipokuwa akifungua mafunzo ya kuimarisha stadi za kufundishaKiswahili kwa wageni kwa wahadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma yaliyoratibiwa na Baraza la Kiswahili Tanzania.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2AAA-1024x682.jpg)