Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahadhiri 21 Wapatiwa Mafunzo ya Stadi za Kufundishia Kiswahili kwa Wageni


Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akisisitiza kuwasilisha orodha ya majina ya wataalamu wa kufundisha Kiswahili kwa wageni kwa Waziri wa Mambo ya nje kwa lengo la kusambazwa katika balozi mbalimbali Tanzania nje ya nchi leo Jijini Dodoma alipokuwa akifungua mafunzo ya kuimarisha stadi za kufundishaKiswahili kwa wageni kwa wahadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma yaliyoratibiwa na Baraza la Kiswahili Tanzania.Kaimu Katibu Mtendaji Baraza la ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kiswahili zaidi ya lulu kwa wageni

Hivi karibuni, Taasisi ya Taaluma za Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Tataki), iliwapokea jumla ya wanafunzi 21  kutoka Marekani waliokuja nchini  kujifunza Kiswahili.

 

10 years ago

Habarileo

Kapuya apinga Kiswahili kutumika kufundishia

Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma KapuyaSERIKALI imehadharishwa kutowatenga Watanzania na ulimwengu kwa kutekeleza sehemu ya Sera ya Elimu, inayotaka Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia kutoka shule ya awali mpaka chuo kikuu.

 

11 years ago

Michuzi

waendesha bodaboda lindi wapatiwa mafunzo, wapima afya kwa hiari

Na Abdulaziz Video, Lindi Mfuko wa Afya Ya Jamii (CHF)Kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi wamewezesha kupimwa kwa Afya za Madereva Boda boda wa kata ya Kiwalala wilayani Lindi baada ya kufuzu mafunzo ya Udereva. Mafunzo yaliyotolewa chini ya Mpango shirikishi wa Polisi Jamii Mkoani Humo. Akiongea na madereva Boda boda mara baada ya kuwatunuku vyeti vya kufuzu mafunzo hayo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga ametoa wito kwa wahitimu hao kujali...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mtembea peku ashinikiza Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia

MJADALA wa lugha ya kuundishia umejadiliwa kwa kirefu katika ngazi zote za elimu na taasisi zake, wataalamu wa lugha, wahadhiri na walimu katika ngazi ya msingi na sekondari wanajadili na mwafaka haujapatikana.

Richard Ricardo maarufu Father Pekupeku kutokana na tabia yake ya kutovaa viatu naye anaishawishi serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iridhie Kiswaili kuwa lugha ya kufundishia kama yalivyo mataifa mengine yanavyotumia lugha zao za taifa katika elimu.

Huyu...

 

9 years ago

Michuzi

WACHIMBAJI WADOGO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO

 Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Kati – Magharibi, Humphrey Mmbando akitoa ufafanuzi wa baadhi ya masuala muhimu yaliyojitokeza wakati wa semina kwa wachimbaji wadogo wa madini kuhusu mfumo mpya wa huduma za utoaji wa leseni za madini kwa njia ya mtandao (Online Mining Cadastre Transactional Portal – OMCTP). Semina hiyo imefanyika leo mjini Shinyanga na ni mwendelezo wa Mafunzo yanayotolewa nchi nzima kwa wachimbaji wadogo na wamiliki wa leseni za madini nchini. Wengine pichani (mstari...

 

11 years ago

Michuzi

WAPATIWA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

 Naibu meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Gervas Ndaki akizungumza jambo wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika hivi karibu katika ukumbi wa Hallfare na kudhaminiwa na kampuni ya Vannedrick ya jijini Dar es salaam kwa kushirikiana asasi isiyo ya kiserikali ya TCDA.  Fredrick Mwakalebela akizungumza jambo wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika hivi karibu katika ukumbi wa Hallfare na kudhaminiwa na kampuni ya Vannedrick ya jijini Dar es salaam kwa kushirikiana asasi isiyo ya kiserikali...

 

9 years ago

Mwananchi

Mashirika na wageni wanavyokuza Kiswahili

Nchi za Skandinavia ni Sweden, Denmark, Norway na Finland. Nchi hizi zimekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa letu.Tumeshuhudia miradi  mbalimbali ikidhaminiwa na nchi hizi mathalan mradi wa maji uliodhaminiwa na Denmark  kupitia wakala wake wa DANIDA. Mawakala wengine wa nchi hizi ni SIDA kutoka Sweden na NORAD kutoka Norway.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapatiwa mafunzo kutatua migogoro

SERIKALI wilayani Mkuranga, Pwani, imeombwa kutoa elimu ya sehemu sahihi ya kufikisha migogoro ya ardhi na namna ya kuitatua, ili kupunguza wimbi la migogoro hiyo. Ombi hilo lilitolewa mwishoni mwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WANDISHI WA HABARI MBEYA WAPATIWA MAFUNZO

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Profesa Norman Sigallah, akifungua mafunzo ya Utekelezaji wa adhabu mbadala kwa wafungwa kwa Waandishi wa habari wa Mkoa wa Mbeya yaliyotolewa na Wizara ya Mambo ya ndani katika Hoteli ya Gr Soweto jijini Mbeya.Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Probesheni na huduma kwa jamii, Charles Nsanze, akimkaribisha mgeni rasmiWaandishi wa habari wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo juu ya adhabu mbadala kwa wafungwaKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani