WANDISHI WA HABARI MBEYA WAPATIWA MAFUNZO
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Profesa Norman Sigallah, akifungua mafunzo ya Utekelezaji wa adhabu mbadala kwa wafungwa kwa Waandishi wa habari wa Mkoa wa Mbeya yaliyotolewa na Wizara ya Mambo ya ndani katika Hoteli ya Gr Soweto jijini Mbeya.
Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Probesheni na huduma kwa jamii, Charles Nsanze, akimkaribisha mgeni rasmi
Waandishi wa habari wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo juu ya adhabu mbadala kwa wafungwaKwa picha zaidi bofya soma zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
Shirika la Sweden ‘RFSU’ laendesha mafunzo ya azazi ujinsia kwa wandishi wa habari 35 nchini
Meneja wa project ya TMEP, Cuthbert Maendaenda akitoa mada yake ya ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia wakati akitoa mafunzo kwa waandishi wa mikoa ya Singida na Rukwa. Mafunzo hayo ya siku tatu,yamefanyikia kwenye ukumbi wa mikutano wa Kalenga West Park Motel and Tours mjini Iringa.
Na Nathaniel Limu, Iringa
JUMLA ya waandishi wa habari 35 kutoka mikoa ya Rukwa na Singida wamehudhuriahudhuria mafunzo yanayohusu ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya...
10 years ago
VijimamboVIJANA 181 WA CCM MBEYA VIJIJINI WAPATIWA MAFUNZO.
9 years ago
MichuziWAANDISHI HABARI WA ZANZIBAR WAPATIWA MBINU BORA ZA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI MKUU.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Wandishi habari 9 wakamatwa Ethiopia
11 years ago
MichuziWAPATIWA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Wapatiwa mafunzo kutatua migogoro
SERIKALI wilayani Mkuranga, Pwani, imeombwa kutoa elimu ya sehemu sahihi ya kufikisha migogoro ya ardhi na namna ya kuitatua, ili kupunguza wimbi la migogoro hiyo. Ombi hilo lilitolewa mwishoni mwa...
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Polisi Singida waichapa timu ya wandishi wa habari Singpress 3-2
Timu waandishi wa habari mkoa wa Singida iliyopambana na timu ya polisi katika mechi kali na ya kusisimua ya bonanza iliyofanyika uwanja wa Namfua.
Na Nathaniel Limu, Singida
TIMU ya soka ya jeshi la polisi mkoani Singida,imeichapa timu ya klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida goli 3-2 kwenye mchezo wa bonanza iliyoandaliwa na kufadhiliwa na kampuni ya simu Vodacom Tanzania tawi la Singida.
Mechi hiyo kali na ya kusisimua,imefanyika kwenye uwanja wa michezo wa Namfua...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-q9j9xkYf4L4/Vbc0TRv3H5I/AAAAAAAASv8/WcMAKle6MYg/s72-c/E86A8044%2B%25281280x853%2529.jpg)
WAJASILIAMALI 150 WAPATIWA MAFUNZO MOSHI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-q9j9xkYf4L4/Vbc0TRv3H5I/AAAAAAAASv8/WcMAKle6MYg/s640/E86A8044%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mpp8uzo0cQ8/Vbc0Zhzg7uI/AAAAAAAASwM/azAMTP14p2U/s640/E86A8049%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoGW0Qam9-c/Vbc0dmbcMVI/AAAAAAAASwY/4pSRswvm-84/s640/E86A8052%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2tQFrr-HsQ/Vbc0ei_RZiI/AAAAAAAASwk/wMmATx9Z-kc/s640/E86A8055%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wEPVi8kRKNU/Vbc0qqml_9I/AAAAAAAASxI/G1pGywn3W9I/s640/E86A8091%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BV7vRoJN5Is/Vbc0kDLCjXI/AAAAAAAASww/QLyOjzvfr_4/s640/E86A8056%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8LP8GXH7ers/Vbc0j1dyEJI/AAAAAAAASws/2bXdK-IMBK0/s640/E86A8057%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1nLA9M6pSNs/Vbc07WCo3gI/AAAAAAAASxc/zlu_ZGSRsE4/s640/E86A8105%2B%25281280x853%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Wajasiriamali 700 Iringa wapatiwa mafunzo
ZAIDI ya wajasiriamali 700 waliopatiwa mafunzo ya kutengeneza batiki, sabuni na keki wametakiwa kutumia elimu hiyo kwa vitendo ili wajikwamue kimaisha na kuongeza pato la taifa. Wito huo umetolewa juzi...